Mchumi90
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,102
- 1,331
Hii game ya CHAUMA ni kichekesho mtaani. Leo nimemuona diwani wangu wa zamani naona kucheka tu.
Hawa wasidhani watanzania ni wajinga. Nipo na watu tunaangalia taarifa ya habari kwa kweli watu wanaishia kucheka tu hizi commedy.
Kukiwa na uchaguzi huru na haki baada ya kupokea hawa vibaraka mzee Rungwe angepata kura yake na mwanae tu.
#No reforms No election
Hawa wasidhani watanzania ni wajinga. Nipo na watu tunaangalia taarifa ya habari kwa kweli watu wanaishia kucheka tu hizi commedy.
Kukiwa na uchaguzi huru na haki baada ya kupokea hawa vibaraka mzee Rungwe angepata kura yake na mwanae tu.
#No reforms No election