Hii chapati niliyotengeneza, usipokua makini utajing'ata Vidole

Hahaha mkuu figganigga ulivyoanza kujisifia kumbe ni chapati za maji aiseee...

Sasa pancake ama chapati za kumimina itakuaje si utataka uanzishiwe jukwaa lako kabisa hahaha


Anyway, naona chapati yako iko poa tu jitahidi kupunguza mafuta na usipike na moto mwingi.


Kwa chapati za kusukuma tafuta thread yangu humu nilifundishwa na my wife Evelyn Salt.

Halafu Jolie Jolie umeongea kama kweli vileee [HASHTAG]#thinking[/HASHTAG]
 
Ukimkuta mwanaume anajua yote hayo lakini hataki kuoa ujue hana mpango wa kupata watoto. Nayajua yote hayo lakini faida yake kwangu ni kuwa hata mke akiumwa naingia jikoni mwenyewe then hawezi kunigomea kwenye kupika, hawezi kunilaza njaa
Kweli kabisa mkuu, ila ukiwa unajua kupika mwanamke hatakutisha kwamba leo sipiki usipo fanya kitu fulani.
 
Hahaha mkuu figganigga ulivyoanza kujisifia kumbe ni chapati za maji aiseee...

Sasa pancake ama chapati za kumimina itakuaje si utataka uanzishiwe jukwaa lako kabisa hahaha


Anyway, naona chapati yako iko poa tu jitahidi kupunguza mafuta na usipike na moto mwingi.


Kwa chapati za kusukuma tafuta thread yangu humu nilifundishwa na my wife Evelyn Salt.

Halafu Jolie Jolie umeongea kama kweli vileee [HASHTAG]#thinking[/HASHTAG]
Hahaha naomba nizione chapati zako za kumimina
 
Ukweli mtupu
Na wanaringa sana
Mama yangu aliwahi kuniambia, "the kitchen is the most romantic place in the house. Usimuache mkeo akaenda jikoni peke yake..."

Na niliiona kwake na baba. I remember those Sundays after church walikuwa wanajifungia jikoni wenyewe sisi sebuleni tunasikia tu wakicheka. Nakumbuka kama vile jana.
 
Hahaha naomba nizione chapati zako za kumimina


Duh nimetafuta weee sioni picha....burudika tu na hizi...
IMG-20170526-WA0006.jpeg
IMG-20170526-WA0008.jpeg
IMG-20170526-WA0010.jpeg
IMG-20170428-WA0005.jpeg


IMG-20170526-WA0006.jpeg
 
Back
Top Bottom