Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,407
- 13,791
KaribuAcha niishie hapo hapo maana nilitaka kufunguka
KaribuAcha niishie hapo hapo maana nilitaka kufunguka
Hahaaaa... Kuna wanawake wengine hawataki kuolewa kwa wanaume wanaojua kupika. Eti watanyanyasika jikoniMwanaume anajua mpaka kuunga mchuzi wa nazi anawahi kuoa kutafuta nn
Unakuta kwake kuna kibao cha chapati,cha kukunia nazi na kinu hahaha hao hawaoagi
Ndio boss. Wewe wajua kutusua haya mapishi?
Jamaa kanichana bila kupepesa macho
Kweli kabisa mkuu, ila ukiwa unajua kupika mwanamke hatakutisha kwamba leo sipiki usipo fanya kitu fulani.Ukimkuta mwanaume anajua yote hayo lakini hataki kuoa ujue hana mpango wa kupata watoto. Nayajua yote hayo lakini faida yake kwangu ni kuwa hata mke akiumwa naingia jikoni mwenyewe then hawezi kunigomea kwenye kupika, hawezi kunilaza njaa
Mimi namba moja,wala anaejua kufua nguo zikang'aa kama kafulia mashine wanakuaga na dharauHahaaaa... Kuna wanawake wengine hawataki kuolewa kwa wanaume wanaojua kupika. Eti watanyanyasika jikoni
Hahaha naomba nizione chapati zako za kumiminaHahaha mkuu figganigga ulivyoanza kujisifia kumbe ni chapati za maji aiseee...
Sasa pancake ama chapati za kumimina itakuaje si utataka uanzishiwe jukwaa lako kabisa hahaha
Anyway, naona chapati yako iko poa tu jitahidi kupunguza mafuta na usipike na moto mwingi.
Kwa chapati za kusukuma tafuta thread yangu humu nilifundishwa na my wife Evelyn Salt.
Halafu Jolie Jolie umeongea kama kweli vileee [HASHTAG]#thinking[/HASHTAG]
Ukweli mtupu
Mama yangu aliwahi kuniambia, "the kitchen is the most romantic place in the house. Usimuache mkeo akaenda jikoni peke yake..."Na wanaringa sana
sahani kama za jelaNunua sahani acha ubahili
Wale jamaa nnawafahamu wanaojua kupika washaoa, ila sasa wale wasiojua kupika na wako rika moja wala hawana hata wazo la kuoa.Mwanaume anajua mpaka kuunga mchuzi wa nazi anawahi kuoa kutafuta nn
Unakuta kwake kuna kibao cha chapati,cha kukunia nazi na kinu hahaha hao hawaoagi
Ni sahihi ndio maana nikawa namuelekeza Jolie Jolie hapo, lakini ye kashikilia eti mwanaume akiwa anajua kupika anakuwa na gubu, eti mara oo maandazi hayakuumukaKweli kabisa mkuu, ila ukiwa unajua kupika mwanamke hatakutisha kwamba leo sipiki usipo fanya kitu fulani.
Hahaha naomba nizione chapati zako za kumimina
Ngoja na mie nikamfuatilie simjui hataKumbe tuko wengi tunaomfatilia aroma,yani huyo dada ndo mwalim mkuu wangu wa mapishi
wana gubu sanaNi sahihi ndio maana nikawa namuelekeza Jolie Jolie hapo, lakini ye kashikilia eti mwanaume akiwa anajua kupika anakuwa na gubu, eti mara oo maandazi hayakuumuka
wana gubu sanaNi sahihi ndio maana nikawa namuelekeza Jolie Jolie hapo, lakini ye kashikilia eti mwanaume akiwa anajua kupika anakuwa na gubu, eti mara oo maandazi hayakuumuka
wana gubu sanaNi sahihi ndio maana nikawa namuelekeza Jolie Jolie hapo, lakini ye kashikilia eti mwanaume akiwa anajua kupika anakuwa na gubu, eti mara oo maandazi hayakuumuka
Mkuu umeoa?Duh nimetafuta weee sioni picha....burudika tu na hizi...View attachment 717924 View attachment 717926 View attachment 717928 View attachment 717929
View attachment 717924
Pishi lako linavutiaDuh nimetafuta weee sioni picha....burudika tu na hizi...View attachment 717924 View attachment 717926 View attachment 717928 View attachment 717929
View attachment 717924