Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,505
Je, mwanamke asiyejua kupika?Wanaume wanaojua kupika hua wanachelewa sana kuoa
Je, mwanamke asiyejua kupika?Wanaume wanaojua kupika hua wanachelewa sana kuoa
Uweeeeee habar ya kukosoana mapish nan kasema,bas bora akosoe kimahaba mahaba,unkuta linanuna na chakula linazira pumbaaaafuMtu akiolewa na mwanaume anejua kupika ndio anakuwa makini balaa, na anafit sana jikoni kwani anajua akifanya vitu ovyo mumewe anaelewa. Sasa mtu alieolewa na mume asiejua kitu Chakula kiunguzwe, kipikwe ovyo kisiwive vizuri ye anaona sawa tu, tena anaogoa hata kusema ukweli anaogopa asije akaambiwa apike yeye kama anaweza. Lakini anaejua haoni tabu kukosoa anajua hata akiambiwa pika mwenyewe anaweza
Asiejua kupika atajifunza tu polepole kwa majiranJe, mwanamke asiyejua kupika?
Hahaaa... Kwani mkuu umeona hii sufulia? Kumbe wewe hujui.. Unafikili utageuzaje? Sahani kibao zishavunjika na kuungua wakati wa kugeuza. Hii ndo mwakeNunua sahani acha ubahili
Mi najua kupika. Umeona eeh..?Wanaume wanaojua kupika hua wanachelewa sana kuoa
Uweeeeee habar ya kukosoana mapish nan kasema,bas bora akosoe kimahaba mahaba,unkuta linanuna na chakula linazira pumbaaaafu
Unafanyaje mchanganyiko uwe mwepesi au mgumu?Hizo ni chapati za maji?
Nakushauri ingia youtube utakutana na mwanamama Aroma kila aina ya pishi utalikuta kwake, ni vema kuangalia na kufanya kuliko kusoma.
Me pia mapishi mengi nimejifunzia youtube.
Turudi kwa topic yetu, chapati za maji, weka yai/mayai, vitunguu maji, karoti na hoho au kimoja wapo katika hivyo ili kuleta ladha na kukata ile harufu ya yai.
Mchanganyiko wako usiwe mzito sana wala mwepesi sana, size ya kati. hapo utatoa kitu mwake mwake, mafuta weka kiasi sio kama unakomoa, unapakaza tu juu ya chapati sio unamwagia.
Hahaaa... Kwani mkuu umeona hii sufulia? Kumbe wewe hujui.. Unafikili utageuzaje? Sahani kibao zishavunjika na kuungua wakati wa kugeuza. Hii ndo mwake
Huyo Aroma ndo yule mwanaJF?Kumbe tuko wengi tunaomfatilia aroma,yani huyo dada ndo mwalim mkuu wangu wa mapishi
Yupo huko youtube sijui kama ni yeye wa jfHuyo Aroma ndo yule mwanaJF?
Kesho nanunua kifurushi cha chuo nikajifunze kupika bilianiNampenda sana na sauti yake ya taratibu ya upole lazima ulielewe pishi.
Kwanini? HahaaaSio kweli
Binafsi niko vizuri kwenye hiyo sekta, na sio mimi tu bali kaka zangu wote pia, lakini tumeowa mapema tu.Kwanini? Hahaaa
Nadhani hapa ulilenga kunitukana. Ngoja nikupuuze roho ikuume.Kwa mwoneka huo wa sahani hata mbwa halambi
Aisee Kama unasema ukweli hiviMwanaume anajua mpaka kuunga mchuzi wa nazi anawahi kuoa kutafuta nn
Unakuta kwake kuna kibao cha chapati,cha kukunia nazi na kinu hahaha hao hawaoagi
Nyiiingi,huwez geuzia chips sahan ya udongo,na plastic wamekatazaHivi sahani za bati bado zipo?
Ni ukwel kabisaAisee Kama unasema ukweli hivi
Acha niishie hapo hapo maana nilitaka kufungukaNi ukwel kabisa