Hii chapati niliyotengeneza, usipokua makini utajing'ata Vidole

Uwe unakuna nazi ya kutosha unaweka kwenye fridge. Ukikata kupika unapasha tu maji unachuja zako tui. Mi nazi ya azam siwezi kuila tena. Nazi ya kawaida ina ladha kwenye msosi. Ile ya azam unasikia harufu tu ila ladha hamna. Kama dada anakujaga kwako mwambie awe anakukunia aweke kwa fridge uachane na nazi za azam
Una akili sana mkuu. Ukiingia JF huwezi toka kapa.
 
Hilo sahani au bati mkuu?
Ndo hali halisi mkuu. Una ushauri gani? Mbona mfuniko wa Joseverest hujasema au hujauona? . Mwenzio siwezagi tabia ya kufake. Nashindwa.. Na nikitaka niumbuke labda.

Mentor Nakuhakikishia ushauri wako kufanyiwa kazi. Wanawake ndo wanajua chagua vyombo vizuri. Hata hivyo Mzigua90 au Jolie Jolie watanisaidia. Hivyo usihofu sababu nipo mikono salama
 
Chapati za mayai
-unga nusu
- mayai manne
-Vijiko vinne vya maziwa ya unga
-Ukachanganya na tui la nazi sio maji
-Karoti ukaisagia sio ya kukata vipande vikubwa
-Hiriki.
Uwe na rost ya maini japo robo.
Hukosi mke hapa brother.
 
Hizo ni chapati za maji?
Nakushauri ingia youtube utakutana na mwanamama Aroma kila aina ya pishi utalikuta kwake, ni vema kuangalia na kufanya kuliko kusoma.

Me pia mapishi mengi nimejifunzia youtube.

Turudi kwa topic yetu, chapati za maji, weka yai/mayai, vitunguu maji, karoti na hoho au kimoja wapo katika hivyo ili kuleta ladha na kukata ile harufu ya yai.

Mchanganyiko wako usiwe mzito sana wala mwepesi sana, size ya kati. hapo utatoa kitu mwake mwake, mafuta weka kiasi sio kama unakomoa, unapakaza tu juu ya chapati sio unamwagia.
Tupatie link basi nimemtafuta sijampata
 
Mwanaume anajua mpaka kuunga mchuzi wa nazi anawahi kuoa kutafuta nn

Unakuta kwake kuna kibao cha chapati,cha kukunia nazi na kinu hahaha hao hawaoagi
Napika wali nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...
Napika mtori mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini..
Napika kisamvu nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...
Napika chapati,maandaz mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini....
Na kufua,kudeki +kuosha vyombo ndo kazi ninayoipenda cjui mwanamke utanifanyia nini...
 
Napika wali nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...
Napika mtori mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini..
Napika kisamvu nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...
Napika chapati,maandaz mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini....
Na kufua,kudeki +kuosha vyombo ndo kazi ninayoipenda cjui mwanamke utanifanyia nini...
Looooh!!!!we hapana kwa kweli
 
Napika wali nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...
Napika mtori mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini..
Napika kisamvu nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...
Napika chapati,maandaz mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini....
Na kufua,kudeki +kuosha vyombo ndo kazi ninayoipenda cjui mwanamke utanifanyia nini...
Heeeeeh unauliza mwanamke atakufanyia nini???
Lol, seriously!!!!
 
Heshima kwenu wakuu,

Nmegundua kumbe kutengeneza chapati simple sana. Nimetengeneza chapati sikutegemea kama zitakua tamu hivi. Yaani ni tamu balaa.. Nikimpikia mgeni itabidi nimwambie awe makini asijing'ate kidole au ulimi.

Ila bado kuna tatizo, kama mlivyo nifundisha kutengeneza chips, Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani

Naomba niongezewe utaalam wa chapati. Nataka nikija kuoa mke wangu asipate tabu pale anapoumwa au kusafiri. Chapati ninazotengeneza hazitazamiki halafu mafuta yanadondoka kama asali.

Je, nyie mwatengenezaje na mwatia viungo gani? View attachment 717776

Ya kumimina ?
 
Back
Top Bottom