Hii bongo sehemu gani jamani?

udereva kwa daslam ni vita haswa..........sijui kwanini hakuna nidhamu barabarani jamani!!!
 
kweli Dar es Salaam mna mambo, sasa hawa abiria wa design hii hata huku kwetu hawapo!
 
Sasa mbona kanuni za usalama hazizingatiwi?? Huyo abiria mbona hajavaa helmet? Ningekuwa mimi ndo trafiki polisi ningemtoza faini.
 
.
Mimi amenifurahisha huyo ngedere! ... alivyomshikilia dereva wa bodaboda ili asianguke ... yaani kama binadamu!
.
 
naona kama kitu cha Mwenge...!!!
 
WaTZ. Eee ivo tumelazimishwa kuiishi Dar ? plz. sababu....
Mbona nchi hii kubwa !
 

Ungefika LAGOS dada yangu.........



mayoooo weeee............n'nini hiki jamani!!! kumbe tuna nafuu.........!
lakini hapana bwana, hata kama hao wako hivyo, tunatakiwa tuwe na nidhamu barabarani kama kanuni za udereva zinavyosema!
 
mayoooo weeee............n'nini hiki jamani!!! kumbe tuna nafuu.........!
lakini hapana bwana, hata kama hao wako hivyo, tunatakiwa tuwe na nidhamu barabarani kama kanuni za udereva zinavyosema!

Tatizo 90% hapa Tanzania ni waendesha magari na sio madereva.....I HOPE YOU GET MY POINT
 
Yakiwepo ma flyovers yatasaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…