Hii baridi la Kilolo sio ya Mchezo

G

guest-1787677255

Guest
Leo nimeenda kumtembelea jamaa yangu mmoja anaishi sehemu moja inaitwa Kilolo Mkoa wa Iringa.

Huyu ni mate wangu, nilisoma naye chuo kikuu anafanya kazi huku ni Afisa fulani.

Wazee hii baridi sio mchezo. Kesho nitaikimbia na kurudi kwangu Dar. Sijui wanaishije hawa watu. Yaani nimeingia jioni hii hapa kwake, kesho saa 7 naondoka niwaachie na taabu yao.

Ona hiyo Temperature inavyosoma.

Hapa wameniwashia moto niote na shem ananiambia nikaoge. Hahaha hata kama maji ya moto, leo siogi.


Wenyewe wanasema sasa ndio kipindi cha joto kwani wanakaribia msimu wa kuanza kwa mvua. ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Kipindi cha baridi ni kuanzia mwezi 2 hadi mwezi Septemba na peak huwa mwezi Juni hadi Agosti.๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Kumbe ndio maana tunasikia watu wamefia ndani kwa kukosa hewa kwani wanapaswa mikoa na carbon monoxide inawaua.
 
Nenda njombe apo usikii baridi yoyote
 
Mbona bado sana me nmekaa mbeya ila siku nmefika uyole nikasema pale forest ni cha mtoto.

Makete peke yake ndyo Kuna baridi kwengine ni range za kawaida.
Oya kuna baridi inapigaga pale sae sijawai ona ....ile miaka ya o-level niliyokaa pale ni kama miaka kumi.
Ikifika asubuhi watu mnatoa moshi tu kama wote mnavuta sigara
 
Iringa kuna baridi ya kawaida sana..

Tatizo nyinyi wavulana wa Dasalaamu mayai mayai sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ