Hii 'back turn' ya Butiku ni ya mashaka

Hii 'back turn' ya Butiku ni ya mashaka

Mpango mzima ni kwamba hiyo tarehe 22/01/2026, hao wazee watakaa na kutoka na kauli kwamba Lisu aachiwe, chadema ifunguliwe, Mchakato wa katiba na Tume Huru uanze na au uharakishwe ili kuondoa malalamiko ya wananchi.

Hawa wazee ni kama vile wanatuona hatujui ni mchezo gani wanataka au wapenga kuufamya.

Halafu serikali itatekeleza maazimio yao na kusema kwamba imewasikiliza wazee wenye Busara na ndicho ilicho kifanya- just to save face.

Haya mambo ya kesi ya Lissu na kufungukiwa kwa wapinzani- Lissu na Mpina, hayakutakiwa kabisa kutokea kabisa...

Cha ajabu hawatasema chochote kuhusu kuwaondoa, kuwashitaki, kuwawajibisha wale wote waliosababisha, kupanga na kutekeleza maovu,utekaji, ufiraji, utesaji, mauaji ya wananchi wakianza na genge la Samia kama chanzo cha machafuko yote haya.
 
Mpango mzima (kwa jicho la pembeni)ni kwamba hiyo tarehe 22/01/2026, hao wazee watakaa na kutoka na kauli kwamba Lisu aachiwe, chadema ifunguliwe, Mchakato wa katiba na Tume Huru uanze na au uharakishwe ili kuondoa malalamiko ya wananchi.

Hawa wazee ni kama vile wanatuona hatujui ni mchezo gani wanataka au wapenga kuufamya.

Halafu serikali itatekeleza maazimio yao na kusema kwamba imewasikiliza wazee wenye Busara na ndicho ilicho kifanya- just to save face.

Haya mambo ya kesi ya Lissu na kufungukiwa kwa wapinzani- Lissu na Mpina, hayakutakiwa kabisa kutokea kabisa...
Wanatuona Watanzania mapoyoyo sana.

Wanajitahidi kuwarubuni na Wazungu hasa baada ya wazungu kuwashikia chini huko ICC.

Wasilolijua ni kwamba mwaka huu vyovyote vile ICC lazima wamtolee hati ya kumkamata Mwenyekiti wao na washirika wake.
 
Siku hizi ni nadra sana kuwasikia wakisema hiyo slogan
Nawakumbusha!!

Kwamba chama changu ccm kinasimamia utu,haki,uwajibikaji!!

Kama hivyo vyote havipo basi hicho sio chama chetu no kitu kingine kilichojivika vazi la kijani!!
 
Nakubaliana na wewe kuwa Huyu Butiku sio mtu wa kumuamini kwani anatumia taasisi na jina la Nyerere kama kitega uchumi chake , na hana credibility tena kwa wa Tanganyika! Sio Siri kuwa kumsaliti Kwake Humphrey Polepole ni pigo kubwa sana kwa wazalendo wa nchi hii. Hata akatae vipi ukweli utabakia pale pale kuwa alimuuza kwa vipande vya fedha toka kwa Samia na hii ndio sababu ya kuweweseka kwake!
Kuhusu ccm kumshambulia Warioba kuwa asizungumze hadharani kutoa maoni yake juu ya serikali, Hawa vijana wa ccm hawajui historia ya chama na serikali yao ndio maana wanalopoka hovyo. Kukosolewa kwa viongozi wa serikali na chama hakujaanza leo ! Nyerere alimkosoa Rais Mwinyi hadharani kuhusu udhaifu wa uongozi wake na kuifanya Ikulu pango la walanguzi . Nakutokana na ukosoaji huo nchi hii ikanusulika!!
Sasa huo ulikuwa wakati wa mtu msikivu kama marehemu mzee Mwinyi sembuse leo enzi za “Chura kiziwi “ : Huyu kiziwi bila kumkosowa hadharani anaipeleka nchi hii Kizimu! Hivi sasa tu ametumia u.s$ million moja Kukodisha kampuni iwabembeleze wafadhiri (aliowaita WHO ARE YOU ?)wampe mikopo : bila kumthibiti binti Kiziwi atauza nchi.
Hawa wazee anaowajua Butiku wasipoteze muda ,kama wana hoja wazipeke kwa jaji Chande wasipoteze wakati na huyu mamluki Butiku.
Ni kazi sana kujenga imani kwa jamii unaweza kutumia karibu maisha yako yote kuijenga ukaja kuipoteza uzeeni.
 
Wimbo, Butiku ushauri wako tumeukataa,

 
Mimi ni Tomaso, hiki kigeu geu cha ghafla kinanitia wasiwasi, juzi alikuwa na wauaji leo anawatetea aliowasaliti juzi, je ni dhamiri yake au kuna msukumo wa nje au kuna project ambayo watawala wanataka waifanye kwa kutumia mgongo wake baada ya kushindwa kumshawishi Warioba.

Ni juzi tu alikuwa akiwananga vijana kuwa watoe hoja kwa utaratibu si maandamano, akawaambia hoja hazitatuliwi kwa kuharibu mali, ni juzi tu alisikika akimwambia Kapteni Tesha aliyewatetea vijana kuwa sio askari hana nidhamu ni muhuni.

Leo anawaambia vijana wana haki ya kuandamana, anawaambia watawala kuwa wasiseme hawawajui wauaji, anamwambia Katibu Mwenezi CCM kuwa anafanya siasa za hovyo, anawaambia CCM kuwa wanafanya siasa huku CHADEMA na mkiti wao LISSU wamewafungia kufanya siasa.

Wasiwasi ndio akili, ngoja niendelee kuwa tomaso hadi trh 22/1 atakapokutana na wazee wa Dar kina Kikwete labda nitaelewa lengo lake hasa ni nini.
Hana lolote uyu mzee na likofia lake kama Mganga wa kienyeji, mnafiki tu
 
Huyu mzee jamii ilisha msoma na haina time naye, umri wa kuishi umekua mdogo alafu ajiona bado kijana, namchukia sana uyu mzee
Mimi ni Tomaso, hiki kigeu geu cha ghafla kinanitia wasiwasi, juzi alikuwa na wauaji leo anawatetea aliowasaliti juzi, je ni dhamiri yake au kuna msukumo wa nje au kuna project ambayo watawala wanataka waifanye kwa kutumia mgongo wake baada ya kushindwa kumshawishi Warioba.

Ni juzi tu alikuwa akiwananga vijana kuwa watoe hoja kwa utaratibu si maandamano, akawaambia hoja hazitatuliwi kwa kuharibu mali, ni juzi tu alisikika akimwambia Kapteni Tesha aliyewatetea vijana kuwa sio askari hana nidhamu ni muhuni.

Leo anawaambia vijana wana haki ya kuandamana, anawaambia watawala kuwa wasiseme hawawajui wauaji, anamwambia Katibu Mwenezi CCM kuwa anafanya siasa za hovyo, anawaambia CCM kuwa wanafanya siasa huku CHADEMA na mkiti wao LISSU wamewafungia kufanya siasa.

Wasiwasi ndio akili, ngoja niendelee kuwa tomaso hadi trh 22/1 atakapokutana na wazee wa Dar kina Kikwete labda nitaelewa lengo lake hasa ni nini.
 
Mimi ni Tomaso, hiki kigeu geu cha ghafla kinanitia wasiwasi, juzi alikuwa na wauaji leo anawatetea aliowasaliti juzi, je ni dhamiri yake au kuna msukumo wa nje au kuna project ambayo watawala wanataka waifanye kwa kutumia mgongo wake baada ya kushindwa kumshawishi Warioba.

Ni juzi tu alikuwa akiwananga vijana kuwa watoe hoja kwa utaratibu si maandamano, akawaambia hoja hazitatuliwi kwa kuharibu mali, ni juzi tu alisikika akimwambia Kapteni Tesha aliyewatetea vijana kuwa sio askari hana nidhamu ni muhuni.

Leo anawaambia vijana wana haki ya kuandamana, anawaambia watawala kuwa wasiseme hawawajui wauaji, anamwambia Katibu Mwenezi CCM kuwa anafanya siasa za hovyo, anawaambia CCM kuwa wanafanya siasa huku CHADEMA na mkiti wao LISSU wamewafungia kufanya siasa.

Wasiwasi ndio akili, ngoja niendelee kuwa tomaso hadi trh 22/1 atakapokutana na wazee wa Dar kina Kikwete labda nitaelewa lengo lake hasa ni nini.
Butiku ni kielelezo kwa nini Tanzania ni masikini.

Hawa ndio watu wameendesha nchi na kuwa karibu na rais kipindi chote cha Nyerere.

Nyerere naye sijui kawatoa wapi hawa ndugu zake wajingawajinga kawapa kazi vipi watu wanaonekana hawana uwezo?

Mtu hawezi hata kujielezea with logical consistency na anaonekana bado anaishi chini ya jiwe mpaka leo mshambamshamba haijui dunia anasema anapenda utawala wa kijeshijeshi, mjingamjinga tu.
 
Butiku ni kielelezo kwa nini Tanzania ni masikini.

Hawa ndio watu wameendesha nchi na kuwa karibu na rais kipindi chote cha Nyerere.

Nyerere naye sijui kawatoa wapi hawa ndugu zake wajingawajinga kawapa kazi vipi watu wanaonekana hawana uwezo?

Mtu hawezi hata kujielezea with logical consistency na anaonekana bado anaishi chini ya jiwe mpaka leo mshambamshamba haijui dunia anasema anapenda utawala wa kijeshijeshi, mjingamjinga tu.
Butiku ni shida
 
Butiku ni shida
Ujue Waafrika tunawasema sana wale Machifu waliowauza ndugu zetu utumwani, lakini hao Machifu bado wapo mpaka leo ndio hawa viongozi wetu na wazee kama hawa kina Butiku.
 
Back
Top Bottom