HIGHER DIPLOMA IN ACCOUNTING-IFM msaada wa ushauri

HIGHER DIPLOMA IN ACCOUNTING-IFM msaada wa ushauri

Asemavyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2017
Posts
330
Reaction score
883
Wenzangu niko IFM mwaka wa tatu, nimepata dili kwenda Greenland Nina wazungu ambao tutakuwa wote takriban miaka 10 , nimeona kuna uwezekano wa kuacha chuo nikapewa HIGHER DIPLOMA IN ACCOUNTING IFM Ninapo acha chuo nikiwa mwaka wa tatu, maan ni NTA Level 7, ipo juu ya ordinary diploma, na inakaribia units za degree,

Je niache chuo niombe hiyo au niombe kupostpone miaka ntasoma mbeleni,

Asemavyo
 
Wenzangu niko IFM mwaka wa tatu, nimepata dili kwenda Greenland Nina wazungu ambao tutakuwa wote takriban miaka 10 , nimeona kuna uwezekano wa kuacha chuo nikapewa HIGHER DIPLOMA IN ACCOUNTING IFM Ninapo acha chuo nikiwa mwaka wa tatu, maan ni NTA Level 7, ipo juu ya ordinary diploma, na inakaribia units za degree,

Je niache chuo niombe hiyo au niombe kupostpone miaka ntasoma mbeleni,

Asemavyo[/QU
Hongera kwnz.Mkuu nashauri chukua HIGHER DIPLOMA kwa UK & AUSTRALIA na baadhi ya nchi huita HIGHER NATIONAL DIPLOMA au an Associate Degree na unatuhusiwa kufanya kazi ya degree.Sasa ukifika uko uombe kusoma TOP UP DEGREE ni kozi ya mwaka1 kuhitimisha degree yako then unaweza endelea hata na masters achana na kupostpond.
 
Back
Top Bottom