"Kwanza, nilichotaka kusema ni kutoa hoja ya kuomba shughuli za Bunge zisitishwe kwa muda ili Kamati ya Uongozi ya Bunge ijadili makandokando yote ambayo yalikuwa yametokea juu ya muswada huo, ukiwamo uongo wa mwenyekiti wa kamati ya Bunge, uongo wa serikali bungeni na masuala mengine yote, ili sasa Bunge lipate mwelekeo chanya juu ya muswada huo na mchakato mzima wa Katiba Mpya kwa masilahi ya wananchi.
"Hivyo hoja yangu ilikuwa muhimu sana kusikilizwa, ili viongozi wakutane kuokoa jahazi na kuondoa sintofahamu ambayo hatimaye imesababisha mjadala mkubwa na muswada mbovu kupitishwa bungeni kwa masilahi ya upande mmoja wa CCM," Mbowe alikaririwa akisema.
Wewe ndie msemaji mkuu wa huyo kiongozi?
"Kwanza, nilichotaka kusema ni kutoa hoja ya kuomba shughuli za Bunge zisitishwe kwa muda ili Kamati ya Uongozi ya Bunge ijadili makandokando yote ambayo yalikuwa yametokea juu ya muswada huo, ukiwamo uongo wa mwenyekiti wa kamati ya Bunge, uongo wa serikali bungeni na masuala mengine yote, ili sasa Bunge lipate mwelekeo chanya juu ya muswada huo na mchakato mzima wa Katiba Mpya kwa masilahi ya wananchi.
"Hivyo hoja yangu ilikuwa muhimu sana kusikilizwa, ili viongozi wakutane kuokoa jahazi na kuondoa sintofahamu ambayo hatimaye imesababisha mjadala mkubwa na muswada mbovu kupitishwa bungeni kwa masilahi ya upande mmoja wa CCM," Mbowe alikaririwa akisema.
chanzo cha habari tafadhari
Kwanza, nilichotaka kusema ni
kutoa hoja ya kuomba shughuli za Bunge zisitishwe kwa muda ili Kamati
ya Uongozi ya Bunge ijadili makandokando yote ambayo yalikuwa yametokea
juu ya muswada huo, ukiwamo uongo wa mwenyekiti wa kamati ya Bunge,
uongo wa serikali bungeni na masuala mengine yote, ili sasa Bunge
lipate mwelekeo chanya juu ya muswada huo na mchakato mzima wa Katiba
Mpya kwa masilahi ya wananchi.
Hivyo hoja yangu ilikuwa muhimu sana kusikilizwa, ili viongozi
wakutane kuokoa jahazi na kuondoa sintofahamu ambayo hatimaye
imesababisha mjadala mkubwa na muswada mbovu kupitishwa bungeni kwa
masilahi ya upande mmoja wa CCM, Mbowe alikaririwa akisema.
Hivi kumbe uamuzi wa kura unaweza kupingwa kwa njia hiyo pia? kweli demokrasia ina sarakasi nyingi sana.
Lazima litakuwa Tanzania
Daima, hiki kigazeti siku hizi ni michosho ile mbaya, Tangu KIBANDA
aondoke huko limekuwa kama jarida na siyo gazeti tena.
kama hiyo ndo hoja ya Mbowe, hakika ameonesha ujinga wa hali ya juu au inaelekea alikuwa anawaza mengine bungeni. Mbunge wa CUF alitoa hoja ya kuomba mjadala wa Rasimu ya Katiba uahirishwe. Naibu spika akahoji wanaoafiki na wasio afiki. wasio afiki walishinda ila CHADEMA hawakukubali. John Mnyika akaomba kura zihesabiwe. ndipo kila mbunge akahojiwa. waliounga hoja ya mbunge wa CUF walikuwa 59 tu na walioikataa walikuwa 156. kabla ya matokeo kutangazwa Naibu Spika alitahadhalisha kuwa hataruhusu hoja nyingine baada ya matokeo
Mkuu tatizo elimu, inawezekana hata hakujua kwa nini kura zilikuwa zinapigwa.
yeye mwenyewe machokumchuzi anasemaje? au wewe ndiye msemaji wake?Wewe ndie msemaji mkuu wa huyo kiongozi?
Huwa nashangaa sana akili ndogo inaongoza akili kubwa.hakika CHADEMA wanazidi kujidhalilisha
kama hiyo ndo hoja ya Mbowe, hakika ameonesha ujinga wa hali ya juu au inaelekea alikuwa anawaza mengine bungeni. Mbunge wa CUF alitoa hoja ya kuomba mjadala wa Rasimu ya Katiba uahirishwe. Naibu spika akahoji wanaoafiki na wasio afiki. wasio afiki walishinda ila CHADEMA hawakukubali. John Mnyika akaomba kura zihesabiwe. ndipo kila mbunge akahojiwa. waliounga hoja ya mbunge wa CUF walikuwa 59 tu na walioikataa walikuwa 156. kabla ya matokeo kutangazwa Naibu Spika alitahadhalisha kuwa hataruhusu hoja nyingine baada ya matokeo