Helo wana Jf. Naomba tujadili hili swala la baadhi ya watendaji wa serikali kusimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi. Then tume inaundwa inalipwa mamilion ya fedha at the tume inaleta majibu kuwa sio mafisadi then wanarudishwa kazini.
Helo wana Jf. Naomba tujadili hili swala la baadhi ya watendaji wa serikali kusimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi. Then tume inaundwa inalipwa mamilion ya fedha at the tume inaleta majibu kuwa sio mafisadi then wanarudishwa kazini.
wala usipate tabu,hiyo ni project kwa hisani ya JK.
haka ni kambinu kengine ka mawazili wa JK kujipatia fedha kwa njia nusu haramu,nusu harali
Wakati ndio sasa wa kuwazoomea popote wanapohutubia,ikishindikana tunawatumia polis Jamii,ikishindikana tena tuna wamwangosi tu