Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
Hi, vipi? Mbona Kimya kama J. Mo? Au uko Bize kama Jafary, au ni Mapozi kama Mr. Blu? Ama ni Mawazo kama J. Dee? Ni Beeb back basi kama Mike Tee, ili nipate kujua Uhali Gani kama Q-chif, au mpaka nikuBembeleze kama Marlaw? Au Haiwezekani kama Kassim. Poa mi nakupa Hi 2 kama Dully Sykes. Najua ukisoma hii msg utaTabasamu kama Blu, basi huo ndoMtazamo Wangu kama Afande Sele. Acha Nikuage Kwaheri kama Jua Kali.............