lumbagengata
Member
- May 16, 2011
- 27
- 2
Karibu sana JF. The home of great thinkers
karibu sana mkuu pita mpaka chumbani ila kuwa mwangalifu kuna kitu inaitwa ban.....
Pia unakaribishwa mychat.mobsite.co
Ila, ban ... ndio nini?
Ban ni adhabu unayo pewa baada ya kuvunja kanuni za jf. pitia kanuni za jf kwanza kabla ya kuandika chochote. Unaweza kufungiwa maisha kuingia jf kama umevunja kanuni. baadhi ya mambo ambayo unabidi ujiepushe nayo ni;
:Lugha za matusi
:Kutoa habari za uongo.
:Kugombanisha jamii.
:habari za uchochezi.
:kumvunjia heshima member mwenzio
:kutoa hadharani maongezi ya private message n.k.
KARIBU SANA.