Hi maneno hiiiiiiiiii

Hi maneno hiiiiiiiiii

Bandabichi

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2012
Posts
230
Reaction score
42
Habari wana jamvi, Hongereni kwa shughughuli za kujenga taifa.
Mapenzi upofu,
Kwa wale madereva ukiwa barabarani na kama kuna hatari mbele lazima dereva aliye mbele atakupa ishara kwa kukuwashia taa akimanisha kuwa uendako kuna hatari,
Ama ukiwa kwenye makutano ya barabara kuna taa za kuongozea magari ,

Ambapo;
1- rangi ya njano simama subili maelekezo
2-rangi ya kijani unaweza kwenda kama ni salama.
3- rangi nyekundu hakuna ruhusa kuendelea na safari.

Haya mambo yanatokea kama ishara kwenye mahusiano, ni kwa nini watu huwa hawawezi kutambua ishara hizi pindi zikijitokeza.
 
lilly petet soma kwa umakini, ikiwezekana rudia hata zaidi ya mara mbili.
 
Last edited by a moderator:
tatizo ujuaji mtu anaachika leo hata kuchukua mda ajifunze kuhusu yale yaliyotokea baada ya cku mbili anakwambia anampenzi mwingine
 
Unajua madereva huwa wanalazimisha kwa kujifanya wanajua. Madhara yake ndo hayo maajali na faini kila siku.
 
Habari wana jamvi, Hongereni kwa shughughuli za kujenga taifa.
Mapenzi upofu,
Kwa wale madereva ukiwa barabarani na kama kuna hatari mbele lazima dereva aliye mbele atakupa ishara kwa kukuwashia taa akimanisha kuwa uendako kuna hatari,
Ama ukiwa kwenye makutano ya barabara kuna taa za kuongozea magari ,

Ambapo;
1- rangi ya njano simama subili maelekezo
2-rangi ya kijani unaweza kwenda kama ni salama.
3- rangi nyekundu hakuna ruhusa kuendelea na safari.

Haya mambo yanatokea kama ishara kwenye mahusiano, ni kwa nini watu huwa hawawezi kutambua ishara hizi pindi zikijitokeza.

Kwenye mahusiano hizo angi kijani, nyekundu na njano huwa hazionekani mpaka ajali ya mahusiano inapotokea. Siyo kwamba hizo rangi hazipo, la hasha, huwa zipo sana ila madereva wa mahusiano either huwa hawazioni au huziona lakini hupuuzia kwa utamu wa kuendesha gari la mahusiano! Chukulia mfano halisi, ni wangapi ambao wamewahi kuwa na wapenzi na baadaye kuonywa na marafiki/ndugu wa karibu kuwa wapenzi wao ni vicheche,wezi nk lakini siku zote huwa wanaziba masikio mpaka yanapowatokea ya kukatisha tamaa au mambo mabaya? Hizo siyo dalili ya rangi nyekundu au njano kwenye mahusiano?

HP
 
Back
Top Bottom