nakumbuka gazeti la sport ilishawahi kuandika kichwa cha habari kwa herufi kubwa "KUMAMAKE YANGA NOMA" na haikuchukuliwa hatuaMkuu hapa bongo ndio tulivo kama hatukudanganywa basi huwa hatana hamu lakini tukidanganywa basi tunayapapatikia na kwa muda utasikia yamekwesha na ya kidoda ni hasara lakini ninawahurumia sana walala hoi wenzangu kwa kutomudu bei yake na akilinganisha na pato lake au kamshahara kake kamkia cha mbuzi basi hapo itambidi agandi kwenye hiyo meza ya magazete na kudurusu utasema kabandikea miguu chini super gruu
Alikuwa anamaanisha UKAWA wamewagomea CCM,ila hi lugha haifai
hizi ni heading ambazo zinatumiwa na wahariri wa magazeti. kiproffessinal heading lazima iwe katika lugha fupi na ya kuvutia sasa bas kama mawazo na akil zako zinawaza kudinda utastaajabu sana utakaposikia neno hilo kutumika hapo!!!!niliposoma kichwa cha habari nilistuka mwandishi kutumia neno wadinda huo ni ukosefu wa maadili kabisaa