Hi lugha noma!

Hi lugha noma!

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
10247241_774090865984217_8466557295574135358_n.jpg
10269344_641142272642985_1707841812832598874_n.jpg
 
Hahahahahahahahahaha, utafiti na wewe ni ukawa?
 
Last edited by a moderator:
UKAWA

Mwenye data naomba msaada ni nini?
 
Mwandishi mtumwa......tanzania uhuru wa mwandishi bado kabisa sio kwa magazeti ya serikali wala kwa binafsi
 
niliposoma kichwa cha habari nilistuka mwandishi kutumia neno wadinda huo ni ukosefu wa maadili kabisaa
 
niliposoma kichwa cha habari nilistuka mwandishi kutumia neno wadinda huo ni ukosefu wa maadili kabisaa
mkuu si hili gazeti tu,mengi sana huwa wanatumia lugha mbovu
 
Mwandishi mtumwa......tanzania uhuru wa mwandishi bado kabisa sio kwa magazeti ya serikali wala kwa binafsi
inaonekana waandishi wengi wametawaliwa na lugha ya mtaani kuliko lugha halisi
 
Mkuu hapa bongo ndio tulivo kama hatukudanganywa basi huwa hatana hamu lakini tukidanganywa basi tunayapapatikia na kwa muda utasikia yamekwesha na ya kidoda ni hasara lakini ninawahurumia sana walala hoi wenzangu kwa kutomudu bei yake na akilinganisha na pato lake au kamshahara kake kamkia cha mbuzi basi hapo itambidi agandi kwenye hiyo meza ya magazete na kudurusu utasema kabandikea miguu chini super gruu
 
Mkuu hapa bongo ndio tulivo kama hatukudanganywa basi huwa hatana hamu lakini tukidanganywa basi tunayapapatikia na kwa muda utasikia yamekwesha na ya kidoda ni hasara lakini ninawahurumia sana walala hoi wenzangu kwa kutomudu bei yake na akilinganisha na pato lake au kamshahara kake kamkia cha mbuzi basi hapo itambidi agandi kwenye hiyo meza ya magazete na kudurusu utasema kabandikea miguu chini super gruu
nakumbuka gazeti la sport ilishawahi kuandika kichwa cha habari kwa herufi kubwa "KUMAMAKE YANGA NOMA" na haikuchukuliwa hatua
 
niliposoma kichwa cha habari nilistuka mwandishi kutumia neno wadinda huo ni ukosefu wa maadili kabisaa
hizi ni heading ambazo zinatumiwa na wahariri wa magazeti. kiproffessinal heading lazima iwe katika lugha fupi na ya kuvutia sasa bas kama mawazo na akil zako zinawaza kudinda utastaajabu sana utakaposikia neno hilo kutumika hapo!!!!
 
Back
Top Bottom