Hi Dunia Tunaelekea Wapi Hakuna Watu Waaminifu Tena

Hi Dunia Tunaelekea Wapi Hakuna Watu Waaminifu Tena

Tunaelekea kufungua nchi kiuchumi!

Magufuli ni dikteta au umesahau ambavyo mlimkandia mkuu😅??? Dikteta aliyenyoosha washenzi mkamuona katili anaminya haki za watu! Pambaneni na wenye nchi sasa maana wanasema imerudi kwa wenyewe sasa😅
 
Tunaelekea Wapi Hakuna Watu Waaminifu Tena
Sector zone hakuna watu Waaminifu, Watu wamejawa na tamaa sana kiasi kwamba wanakuwa sio Waaminifu
Kufikia 2025 mtakuwa mmekula WA chuya ,,,,,,taratibu dawa inawaingia .mliona hawafai
H.E._DR_MAGUFULI.jpg
BenjaminMkapa.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaelekea kufungua nchi kiuchumi!

Magufuli ni dikteta au umesahau ambavyo mlimkandia mkuu😅??? Dikteta aliyenyoosha washenzi mkamuona katili anaminya haki za watu! Pambaneni na wenye nchi sasa maana wanasema imerudi kwa wenyewe sasa😅
Yule mzee atabaki kuwa raisi bora kwa kipindi alipoikuta nchi, ila ameondoka mapema sana, kuta zinaanguka sasa😢
 
Tunaelekea kufungua nchi kiuchumi!

Magufuli ni dikteta au umesahau ambavyo mlimkandia mkuu[emoji28]??? Dikteta aliyenyoosha washenzi mkamuona katili anaminya haki za watu! Pambaneni na wenye nchi sasa maana wanasema imerudi kwa wenyewe sasa[emoji28]
Dah
 
Kufikia 2025 mtakuwa mmekula WA chuya ,,,,,,taratibu dawa inawaingia .mliona hawafaiView attachment 2040722View attachment 2040723

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wewe ila sio wote
Ukilala njaa wewe usidhan kila mtu nae atalala njaaa
Endelea kilia lia ila kuna watu wanaingiza 30M per day jiulize wewe unayemlalamikia Rais una nini na unaingiza shingapi kwa siku

Tatizo watanzania tunalalamika mno hakuna zuri mtakalo sifia yote ni mabaya tu ndo maana hata Mungu atubariki too much kulalamika
 
Labda wewe ila sio wote
Ukilala njaa wewe usidhan kila mtu nae atalala njaaa
Endelea kilia lia ila kuna watu wanaingiza 30M per day jiulize wewe unayemlalamikia Rais una nini na unaingiza shingapi kwa siku

Tatizo watanzania tunalalamika mno hakuna zuri mtakalo sifia yote ni mabaya tu ndo maana hata Mungu atubariki too much kulalamika
Hata wa tz waletewe rais ambaye n malaikaa bd watamnanga tu ,cjui ttz letu nn ,tunaamini ktk rais kuliko kuamini ktk kufanya kz
 
Duh 30M per day? Kweli tupo uchumi wa kati
Labda wewe ila sio wote
Ukilala njaa wewe usidhan kila mtu nae atalala njaaa
Endelea kilia lia ila kuna watu wanaingiza 30M per day jiulize wewe unayemlalamikia Rais una nini na unaingiza shingapi kwa siku

Tatizo watanzania tunalalamika mno hakuna zuri mtakalo sifia yote ni mabaya tu ndo maana hata Mungu atubariki too much kulalamika
 
Tunaelekea kufungua nchi kiuchumi!

Magufuli ni dikteta au umesahau ambavyo mlimkandia mkuu😅??? Dikteta aliyenyoosha washenzi mkamuona katili anaminya haki za watu! Pambaneni na wenye nchi sasa maana wanasema imerudi kwa wenyewe sasa😅
Mkuu magu mwenyewe hakuwa mwaminifu, ref. Rambirambi kule bukoba nk
 
Back
Top Bottom