Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,596
- 13,980
Ujumbe ndio huo safari hi Hezbullah ataishambulia Israel sio target za kijeshi tu, kaona Israel ime cross red line na serekali ya Lebanon haijibu mashambulizi ya Israel.
Yule Puppet wao walio mueka Syria wanataka wamtumie kupigana na Hezbullah na kwa njia ya kusingizia kuprotect wasipitishe drugs na silaha Syria.
Tegeni masikia yajayo si mazuri kwa Israel, ikiwa Missiles 500 za Iran ilibidi Israel apige magoti kuomba vita visimame. Ataweza kupokea kichapo cha Missiles zaidi ya 7000 zile heavy missiles sidhani.
Siku zitaongea mda si mrefu.
Yule Puppet wao walio mueka Syria wanataka wamtumie kupigana na Hezbullah na kwa njia ya kusingizia kuprotect wasipitishe drugs na silaha Syria.
Tegeni masikia yajayo si mazuri kwa Israel, ikiwa Missiles 500 za Iran ilibidi Israel apige magoti kuomba vita visimame. Ataweza kupokea kichapo cha Missiles zaidi ya 7000 zile heavy missiles sidhani.
Siku zitaongea mda si mrefu.