Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 11,244
- 15,064
Hiyo Lugha ya Majini wengine hatuielewi, Ninachokiona hapo ni Magofu tu ya majengo ya huko Lebanon-Kusini na sioni Askari yeyote wa Israel aliyeuwawa wala mateka waliotekwa na magaidi hao!!Wako wapi wale makenge waliye sema Hezbullah imekwisha
Echolima1 Mzee Kigogo Mlaleo
Nendeni mkawasaidie mashogo wenzenu kule Lebanon wanacharazwa vibaya sana mpaa magazeti ya mashoga wenzenu wanalia eti Israel hawana experience ya kupigana na Hezbullah hahaha
View: https://youtu.be/_68snI24Foo?si=qWhRQdA6p5wRdBJq
Kenge toka lini walionaHiyo Lugha ya Majini wengine hatuielewi, Ninachokiona hapo ni Magofu tu ya majengo ya huko Lebanon-Kusini na sioni Askari yeyote wa Israel aliyeuwawa wala mateka waliotekwa na magaidi hao!!
Hawa wadosi huwa wako against Waislam lakini hapa wamekubali Israel anapokea kichapo huko Lebanon bora wangemuonyesha huyo mwanajeshi wa Israel kuliko wafiche sura yakeleta habari usichague upande
Kama ni kweli ni habari njema hizi , hilo taifa la kipuuzi US wasingekua wanalilea lingeshafutwa kitambo sana
Wako wapi wale makenge waliye sema Hezbullah imekwisha
Echolima1 Mzee Kigogo Mlaleo
Nendeni mkawasaidie mashogo wenzenu kule Lebanon wanacharazwa vibaya sana mpaa magazeti ya mashoga wenzenu wanalia eti Israel hawana experience ya kupigana na Hezbullah hahaha
View: https://youtu.be/_68snI24Foo?si=qWhRQdA6p5wRdBJq
Tatizo wengine akili zao ndio vile kama wewe tuwape.pole tu hata mkiwekewa video hamfahamuMbona umeandika kama taahira? Huwezi ukaandika kama mtu mwenye akili timamu, ukatutaarifu kilichotokea?
Kila kituvisingizioUkipunguza ushabiki, utaona mambo yako tofauti kidogo.
Hezbollah wanaendelea kupata kipondo ndani kabisa ya Lebanon!!Hawa wadosi huwa wako against Waislam lakini hapa wamekubali Israel anapokea kichapo huko Lebanon bora wangemuonyesha huyo mwanajeshi wa Israel kuliko wafiche sura yake
View: https://youtu.be/bh3Myl7_I94?si=yWwRMjOQQvnAZIU0
Hawa wadosi huwa wako against Waislam lakini hapa wamekubali Israel anapokea kichapo huko Lebanon bora wangemuonyesha huyo mwanajeshi wa Israel kuliko wafiche sura yake
View: https://youtu.be/bh3Myl7_I94?si=yWwRMjOQQvnAZIU0
Hata kama watasema wasitumie akili watumie hisiaTukitumia akili zetu vizuri utagundua kwanini Ulimwengu unaiyona Iranian imeshinda Vita !!!
Mfano mwengine huu
wkt Marekani na Israel wanapiga Majengo ya Iranian kwa kushtukiza au sehemu za Nuclear wanapiga kimya kimya !!!
lkn majibu ya Iranian wanatangaza kabisa leo wanapiga wapi na sehemu tajwa kunapigwa kama walivosema!!!!!!!!
Weka maanani wkt uho Iranian wapo nyumbani tu wanacheza Draft na Viuma vinatembea km2000+ kwenda kwenye lengo tajwa.
hii sio poaa huu ni zaidi ya Ubabe wakawaida!
Video yenyewe ya MICHONGO!!Echolima1 katazama hii video katoka nduki
kaona kwa macho yake IDF akibebwa mzima mzima!!! πππ
Hiyo kazi ya kuuwa watu kwa hisia ni Wafuga Midevu na Majini!!Mkuu @
Hata kama watasema wasitumie akili watumie hisia
Iran kuhusiana na kushinda hii vita ni suala ambalo halitaki mjadala kabisa
Kama mpaka ile kenge ya ujerumani imekiri
Unadhani wazayuni wa jf watabadilisha huu ukweli kisa wanatumia hisia
Mkuu @
Hata kama watasema wasitumie akili watumie hisia
Iran kuhusiana na kushinda hii vita ni suala ambalo halitaki mjadala kabisa
Kama mpaka ile kenge ya ujerumani imekiri
Unadhani wazayuni wa jf watabadilisha huu ukweli kisa wanatumia hisia
Hahaha wafuasi wa Paulo mnashida sana πVideo yenyewe ya MICHONGO!!