ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,042
- 9,202
kwa hisani ya AIView attachment 2862174
Mashetani mnakazi sana
kwa hisani ya AIView attachment 2862174
Mashetani mnakazi sana
Nakhbaliana na wewe . Hata yule aliyewahi kuwa Rais wa Iran , aliyewahi kutoa kauli ya kuifuta Israel inasemekana alikuwa myahudi kwa asili yake, uchaguzi uliopita alizuiliwa kugombea japo ana wafuasi wengi .Mashia (watoto wa wayahudi) hawawezi kupigana vita na wayahudi (baba zao). Iran ni nchi ya pili ndani ya middle east kwa kuwa na idadi kubwa ya wayahudi baada ya Israel. Ndani ya Israel leo hii kunatambulika kuwa na zaidi ya wayahudi 300,000-350,000 wenye asili ya iran.
Wayahudi walikuwa wakiishi ndani ya iran kwa karne nyingi huko nyuma.Mpaka leo kuna mabaki ya uyahudi ndani ya miji ya Tehran,Shiraz na isfahan. Kamwe hamuwez kusikia vita vya mashia na mayahudi. Hata maandiko yanaonesha kuwa the awaited jewish messiah/king (anti-christ aka Al-masih dajjal) ataibuka kutoka katika mji wa Isfahan huko Iran akiongozana na kundi la mayahudi 70,000.
Tishio kubwa la uyahudi na wayahudi ni SUNNI ISLAM (Uislam wa dhehebu la sunni). Hata ukiwauliza wanazuoni wa kiyahudi au maafisa wa jeshi la marekani watakueleza hili.
Kwa wanaoelewa huwa hawashangai kuona hayo yanayoendelea kati ya mashia na mayahudi kwasababu wote ni ndugu. Ila huyu mmoja kauficha uyahudi wake ndani ya vazi la uislam.
Kazi kwelikweliJeshi la Israeli limejiandaa Kwa hali yoyote ile.
Kauli ya kishujaa sana kutoka kwa msemaji wa jeshi la Israeli Dani Hagari
Israel ana askari kiasi gani mpakani na Lebanon?.. hizbullah walienda mpakani kuzuwia jeshi la Israel lisiende kamata magaidi Lebanon!?..we mbona unafikiri kipunguani!?Wameshaona kukaa mpakani haisaidii, Israel inatuma drone popote walipo magaidi na inawaulia hukohuko.
Wayahudi wa iran wanatambulika kama Mizrahi. Hutosikia katika maisha yako mpk unakufa kuwa Iran au lebanon inapigana na Israel.Nakhbaliana na wewe . Hata yule aliyewahi kuwa Rais wa Iran , aliyewahi kutoa kauli ya kuifuta Israel inasemekana alikuwa myahudi kwa asili yake, uchaguzi uliopita alizuiliwa kugombea japo ana wafuasi wengi .
Amini unachotaka kuaminiIsis hawakua wanapigania kueka sharia walikua wanapigana kuua watu waeke maslahi yao
Kama bora hamas kwa israhell kinachoendelea ghaza unakiona au unahadirhiwa tuuu
Uchaguzi ulopita alizuiwa kwa sababu gani?Nakhbaliana na wewe . Hata yule aliyewahi kuwa Rais wa Iran , aliyewahi kutoa kauli ya kuifuta Israel inasemekana alikuwa myahudi kwa asili yake, uchaguzi uliopita alizuiliwa kugombea japo ana wafuasi wengi .
Tunabishana kwa hoja sio maneno matupu unayotaka tumeze bila kuhojiAmini unachotaka kuamini
Sasa si mabikira wataisha mapema wengine tukoseThis time amedhamiria kuwapeleka Kwa allah magaidi yote yaliyojificha kwenye mgongo wa dini.
Sawa na sasa nani anafutwa?Sikuelewi, hivi umesoma agano la HAMAS? Ambayo inasema uislamu unapaswa kuifuta Israel