Heslb

Heslb

andy90

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
270
Reaction score
105
Wakuu habari zenu!
Mim nmekuwa nikisoma malalamiko mengi sana ya wana Jf ambao ni student's wanaotaraji mkopo, nlichokigundua ni kweli kuna waliopata na kunawaliokosa. Ila mmi binafsi nauliza je kati yao waliokosa kuna ambao mwaka wakwanza walipata na mwaka wa pili wakakosaa?? nikipata kujibiwa kwa hakika ntajua hatua gani nachukua,,,,
 
Jamani wakuu naombeni kuuliza..kama umepata chuo na mkopo na ukaarisha mwaka wa masomo unaweza kupata mkopo kwa mwaka unaofatia???
 
Back
Top Bottom