Habari wana Jamvi!
Nimepata Changamoto katika ku upload picha ya mdhamini mtandaoni. Kila nikijaribu inakataa na picha ina vigezo vyote.
Au ni print fomu hivyo hivyo niibandike kawaida?
mkuu hiyo sio shida wala, size na dimensions ziko poa, mbona picha ya mwombaji nimerekebisha na imekubali but najaribu different pics za mdhamini na bado inakataa. Namba HESLB nilipiga muda wa kazi haikupatikana