james marco
JF-Expert Member
- Aug 2, 2017
- 208
- 167
Wamesema bado watu 12000+
Mpaka leo ujapata chuoNIT waki ni tema 4th round bora niwe mkulima wa mbogamboga
Mchek uyo jamaa mwenye 770 tuMbona case kama hiyo sijaiona mkuu.Chuo gani.Sababu kila mtu anapewa Meals and accomodation,vingine tu ndo vinatofautiana
Bodi ya mikopo ya wanafunzi ya elimu ya juu HESBL imetoa majina ya walionufaika na mkopo kwa awamu ya pili 2018/2019
Nina swali Je kuna awamu ya tatu? Na hii inakuaje?
Tembeleeni tovuti za HESBL na akaunti zenu goodluck!![/QUOTipo zinaweza fika ata nne
Bado,madogo msipanic ,majina bado yataendelea kutoka ata kama wengine mtakua tayari vyuoniNdyo yameisha majina
Kwa walioorodheshwa kwamba wamebahatika kupata(First batch tukijikita SUA)Kila mtu au wale waliopata mikopo wote wanapata meals and accommodation, kinachotofautiana ni nini?
Sasa chuo itakuaje kaka maana wengine hata hatujui tukama tunaweza enda kureport bila kupata mkopoBado,madogo msipanic ,majina bado yataendelea kutoka ata kama wengine mtakua tayari vyuoni
don say that....keep praying and believeNIT waki ni tema 4th round bora niwe mkulima wa mbogamboga
Tafuta ile ada ya kauzia ili kufanya usajili kwanza mengine yataeleweka mbele kwa mbeleSasa chuo itakuaje kaka maana wengine hata hatujui tukama tunaweza enda kureport bila kupata mkopo
Correction pls ni Year of studiesNadhani ni year of student
Mpaka leo ujapata chuo
don say that....keep praying and believe
Pole sana mkuu keep praying Mungu atajibuYanii mimi ni moja ya waathirika wa kutopata mkopo japo chuo nimepata first round ila batch zote sipo tena niliambatanisha na vyeti vya kifo vya wazazi wote wawili yanii Advance nimesopa kwa shida snaa alafu sahv nakosa mkopo kwelii 😢😢😢😢 inauma snaa Mungu anajua lakin Daah mda mwngine napata na msongo mkali sana wa mawazo mpk natamani kuchukua maamuzi ambayo najua itakua chukizo kubwa sana kwa Mungu na kwa jamii yangu but it really hurts guys nilikua nasikia tu watu wanakosa mkopo ila sahv najionea na naona jins inavo umaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Yanii mimi ni moja ya waathirika wa kutopata mkopo japo chuo nimepata first round ila batch zote sipo tena niliambatanisha na vyeti vya kifo vya wazazi wote wawili yanii Advance nimesopa kwa shida snaa alafu sahv nakosa mkopo kwelii inauma snaa Mungu anajua lakin Daah mda mwngine napata na msongo mkali sana wa mawazo mpk natamani kuchukua maamuzi ambayo najua itakua chukizo kubwa sana kwa Mungu na kwa jamii yangu but it really hurts guys nilikua nasikia tu watu wanakosa mkopo ila sahv najionea na naona jins inavo umaa
Unaingiaje kwenye akaunti yako wakati olas haiko active?Me mmoja wapo