HESLB yasisitiza watu wote watapata mikopo, Lot ya nne inakuja

Ududu

JF-Expert Member
Aug 16, 2013
1,020
554
Kwa habari za uhakika ni kwamba bado mikopo inaendelea kutolewa kwa wanafunzi waliobaki na tatizo kubwa lililojitokeza ni kwamba matokeo ya baadhi ya waombaji hasa wale wa nacte hayaonekani katika profile zao.

Kwa wale wa case za ku appeal muda bado wa kufanya hivyo, hivyo mtajulishwa muda ukifika pia wale wa case za transfer bodi haihusiki na hayo bali wao hupokea taarifa kutoka TCU na NACTE endapo kama utafanikiwa kuhama.

Hilo ndio tangazo lililotoka kwa sie ambao leo tulikua bodi ya mikopo kwa matatizo mbalimbali..Karibuni kwa maswali
 
Kwa habari za uhakika ni kwamba bado mikopo inaendelea kutolewa kwa wanafunzi waliobaki na tatizo kubwa lililojitokeza ni kwamba matokeo ya baadhi ya waombaji hasa wale wa nacte hayaonekani katika profile zao.

Kwa wale wa case za ku appeal muda bado wa kufanya hivyo, hivyo mtajulishwa muda ukifika pia wale wa case za transfer bodi haihusiki na hayo bali wao hupokea taarifa kutoka TCU na NACTE endapo kama utafanikiwa kuhama.

Hilo ndio tangazo lililotoka kwa sie ambao leo tulikua bodi ya mikopo kwa matatizo mbalimbali..Karibuni kwa maswali
Inakuwaje amount yng tuition imechange kutoka 1080000 mpaka 265000 tatzo nin
 
Inakuwaje amount yng tuition imechange kutoka 1080000 mpaka 265000 tatzo nin

Ukweli mambo bado hayajakaa sawa kutokana na pressure wanayopata bodi kutoka kwa waombaji kiasi kujikuta wanakosea katika baadhi ya mambo,,mfano kuna watu wamepewa tuition fee kubwa kuliko inayotakiwa katika chuo husika hivyo hawa nao lazima wa appeal kwani itakula kwao kwenye kuzilipa wakati hela zitaingia chuo moja kwa moja.
 
naomba kuuliza eti chuoni hautosain boom mpk ulipe ada mana mi sijapata tuition feeni nimepewa accomodation na stationery je lina ukweli hili?
 
Kwa habari za uhakika ni kwamba bado mikopo inaendelea kutolewa kwa wanafunzi waliobaki na tatizo kubwa lililojitokeza ni kwamba matokeo ya baadhi ya waombaji hasa wale wa nacte hayaonekani katika profile zao.

Kwa wale wa case za ku appeal muda bado wa kufanya hivyo, hivyo mtajulishwa muda ukifika pia wale wa case za transfer bodi haihusiki na hayo bali wao hupokea taarifa kutoka TCU na NACTE endapo kama utafanikiwa kuhama.

Hilo ndio tangazo lililotoka kwa sie ambao leo tulikua bodi ya mikopo kwa matatizo mbalimbali..Karibuni kwa maswali

Mkuu vipi kuhusu continuous student walio omba mkopo mwaka huu nao watapata au ni first year tu.
 
Ina maana watatoa hadi kwa wale wa non priority?? Kama ni hivyo watakua juu
 
Kwa habari za uhakika ni kwamba bado mikopo inaendelea kutolewa kwa wanafunzi waliobaki na tatizo kubwa lililojitokeza ni kwamba matokeo ya baadhi ya waombaji hasa wale wa nacte hayaonekani katika profile zao.

Kwa wale wa case za ku appeal muda bado wa kufanya hivyo, hivyo mtajulishwa muda ukifika pia wale wa case za transfer bodi haihusiki na hayo bali wao hupokea taarifa kutoka TCU na NACTE endapo kama utafanikiwa kuhama.

Hilo ndio tangazo lililotoka kwa sie ambao leo tulikua bodi ya mikopo kwa matatizo mbalimbali..Karibuni kwa maswali

Wamesema Awamu Ingine Inatoka Lini?
 
continuing nao je?

Kwa mujibu wa Heslb majina ya continue student yatapelekwa chuoni moja kwa moja na hayatowekwa kwenye web ya bodi wala olas sababu wao ili wapate mkopo ni lazima ithibitike kuwa amefaulu na kuruhusiwa kuingia mwaka unaofuata.
 
Kwa mujibu wa Heslb majina ya continue student yatapelekwa chuoni moja kwa moja na hayatowekwa kwenye web ya bodi wala olas sababu wao ili wapate mkopo ni lazima ithibitike kuwa amefaulu na kuruhusiwa kuingia mwaka unaofuata.

Ni kwel ifm tumejiandikisha walioomba mkopo mwaka wa pili ili wapeleke bodi
 
Kwa mujibu wa Heslb majina ya continue student yatapelekwa chuoni moja kwa moja na hayatowekwa kwenye web ya bodi wala olas sababu wao ili wapate mkopo ni lazima ithibitike kuwa amefaulu na kuruhusiwa kuingia mwaka unaofuata.

>>>Duh sasa sisi tutathibitishaje kama tumepata,BODI au VYUONI kwetu?
 
Sasa Kwa Mfano Mimi Nilitransfer Kwenda Chuo Kimoja Kwenda Kingine Lakini Bodi Ya Mikopo Wamepeleka Mkopo Kwenye Chuo Cha Kwanza Nilichokihama Sasa Sijui Nafanyaje
 
Sasa Kwa Mfano Mimi Nilitransfer Kwenda Chuo Kimoja Kwenda Kingine Lakini Bodi Ya Mikopo Wamepeleka Mkopo Kwenye Chuo Cha Kwanza Nilichokihama Sasa Sijui Nafanyaje

mkuu Chuo kitafanya usajili na kama umehama hicho Chuo jina lako halitosajiliwa pale hivyo hicho hicho Chuo kitapeleka majina loan bod na tcu ya ambao hakijawasaji hivyo tcu itatambua moja kwa moja Chuo ulicho hamia na hivyo kama ulipewa mkopo Chuo ambacho umetoka kitapeleka jina lako loan bod kuwa haupo chuon hapo hivyo loan bod watalejea tcu na kutafta ulipo hamia na kuloket mkopo Wako hapo ulipo hamia ANGALZO UKISHAPEWA MKOPO HAWEWEZ KUURUDISHA watakutafta loan bod kwa kushilikiana na tcu au nacte watajua ulipo hivyo mkopo Wako utaupata ASANTEN maelezo toka loan bod
 
Back
Top Bottom