Tetesi: HESLB waliharibu systems zao kwa makusudi.

The CIA

JF-Expert Member
May 5, 2017
479
478
Inasemekana HESLB waliamua kureset passwords za accounts za wanafunzi walioomba mikopo na kukosa mikopo kwa awamu ya kwanza mpaka ya nne ili kufanya zoezi la kukata rufaa kushindikana kwa mwaka wa masomo 2018/2019.

Tetesi zinadai mpaka sasa hakuna aliefanikiwa kuapeal kutokana na ugumu uliojitokeza kwa wanafunzi hao kushindwa kurecover passwords zao licha ya wao kutumiwa automatic link kwenye email za kurecover passwords zao.

Ushauri:

HESLB wawe wanawarudishia wanafunzi (watoto wa masikini) waliokosa mkopo gharama zao zote za application ambazo zinakadiriwa kufikia 100,000
biashara wanayoifanya niya kinyonyaji
 
Write your reply...kweli mkuu ila dunia aina uluma mabepari furaha yao kutuona maskini tukiteseka apo roho zao kwatu kwa kutufelisha kutimiza ndoto zetu inshala mungu atatulipia
 
Write your reply...kweli mkuu ila dunia aina uluma mabepari furaha yao kutuona maskini tukiteseka apo roho zao kwatu kwa kutufelisha kutimiza ndoto zetu inshala mungu atatulipia
pole sana ndugu naona una uchungu sana umechangia mada saa saba usiku

😊kweli mungu anawaona..
 
Mnawalaumu bodi bure tu..kama wanapewa bajeti fix unategemea wenyewe hela wazitoe wapi??

Thy should comeout clean wawe wanatangaza kuwa mwaka huu hatuna pesa tutakopesa watu kadhaa tu wenye vigezo hivi. Siyo kuchukua application fee ilhali wanajua hawana pesa. Huo ni wizi wa kiwango cha ujambazi wa kutumia silaha. Sorry, mimi kama mzazi inaniuma sana.
 
Ndio mkuu sio jambo zuri...ila pia haya maswala ya kutoa application fee yapo sehemu mbalimbali tu sio bodi pekee..Naamini bodi hawawezi kumnyima mtu hela as long as hela zipo
Thy should comeout clean wawe wanatangaza kuwa mwaka huu hatuna pesa tutakopesa watu kadhaa tu wenye vigezo hivi. Siyo kuchukua application fee ilhali wanajua hawana pesa. Huo ni wizi wa kiwango cha ujambazi wa kutumia silaha. Sorry, mimi kama mzazi inaniuma sana.
 
Ndio mkuu sio jambo zuri...ila pia haya maswala ya kutoa application fee yapo sehemu mbalimbali tu sio bodi pekee..Naamini bodi hawawezi kumnyima mtu hela as long as hela zipo

Mkuu.
Application fee ya sh 100,000 kwa mkulima wa mahindi ambapo gunia ni sh 15,000 inamaanisha ni magunia saba ya mahindi. Mavuno ya ekari moja.....application fee iendane na uhalisia wa maisha ya kawaida ya wakulima. Laki moja is too much.

Yaani mkulima wa mahindi alime ekari moja kwa ajili ya application fee ya mkopo wa chuo na mtoto wake asipate huo mkopo!!! Huu ni wizi of highest order.
 
Mkuu.
Application fee ya sh 100,000 kwa mkulima wa mahindi ambapo gunia ni sh 15,000 inamaanisha ni magunia saba ya mahindi. Mavuno ya ekari moja.....application fee iendane na uhalisia wa maisha ya kawaida ya wakulima. Laki moja is too much.

Yaani mkulima wa mahindi alime ekari moja kwa ajili ya application fee ya mkopo wa chuo na mtoto wake asipate huo mkopo!!! Huu ni wizi of highest order.
Siyo 100k huo ni uongo kiwango cha fly over.... application fees ni 30k
 
Daah kweli kabisa

Application Form 30000/=
Kupost form kwa ems 16000/=
Internet cafe jumla 10000/=
Kuhakiki cheti cha kuzaliwa 3000/=
Nauli kwenda mjini kufatilia 30000/=

Jina langu halikuwepo kwenye batch yeyote
Kukata rufaa nako imekuwa shida!

Mungu akubariki rais wawanyonge.
 
Thy should comeout clean wawe wanatangaza kuwa mwaka huu hatuna pesa tutakopesa watu kadhaa tu wenye vigezo hivi. Siyo kuchukua application fee ilhali wanajua hawana pesa. Huo ni wizi wa kiwango cha ujambazi wa kutumia silaha. Sorry, mimi kama mzazi inaniuma sana.
kweliii kabisaaaa...
 
Siyo 100k huo ni uongo kiwango cha fly over.... application fees ni 30k
....

Bila shaka wewe ni mtoto wa huyo mfugale wa flyover. Use your common sense to think a bit...

Application Form 30000/=
Kupost form kwa ems 16000/=...si kila kata na kijiji utapata huduma hii. Lazima usafiri
Internet cafe jumla 10000/=....si kila kata na kijiji utapata huduma hii. Lazima usafiri
Kuhakiki cheti cha kuzaliwa 3000/=...si kila kata na kijiji utapata huduma hii. Lazima usafiri
Nauli kwenda mjini kufatilia 30000/=
 
Daah kweli kabisa

Application Form 30000/=
Kupost form kwa ems 16000/=
Internet cafe jumla 10000/=
Kuhakiki cheti cha kuzaliwa 3000/=
Nauli kwenda mjini kufatilia 30000/=

Jina langu halikuwepo kwenye batch yeyote
Kukata rufaa nako imekuwa shida!

Mungu akubariki rais wawanyonge.
pole ndugu yangu akuna namna tukawe wezi tu watubunde tufilie mbali au wewe bado unalichokisahau kwenye dunia hii mm naona akuna tena maisha baada ya hapa
 
Kuna watu walipata mkopo na allocation zikatumwa vyuoni but Cha ajabu majina yao hayapo kwenye form za kusaini,haya Mambo ni magumu
Kama kwenye profile kuna allocation na jina lake pia lipo kwenye list ya beneficiries iliyosainia hadi na VC wa chuo husika hapo inabidi asubiri sheet za kusaini zitakuja..kuna mdogo wangu last year alikuwa na tatizo kama hili na alikuja kupata boom karibu na chrismass
 
Back
Top Bottom