HESLB, sisi wa resumption vipi?

chibi

JF-Expert Member
Mar 21, 2013
240
65
Mimi ni loan beneficiary tena kwa asilimia mia moja ambae nilisoma mwaka mzima (2013/2014) mwaka wa 2014/2015 nika postpone sasa hivi nimeresume na barua ya resumption nimepeleka bodi lakini still sijawa allocated na muda wa regstn chuoni unafungwa next week naomba msaada wa namna ya kufanya sipo peke yangu....watu wa bodi mnaopita humu mtusaidie.
 
Mimi ni loan beneficiary tena kwa asilimia mia moja ambae nilisoma mwaka mzima (2013/2014) mwaka wa 2014/2015 nika postpone sasa hivi nimeresume na barua ya resumption nimepeleka bodi lakini still sijawa allocated na muda wa regstn chuoni unafungwa next week naomba msaada wa namna ya kufanya sipo peke yangu....watu wa bodi mnaopita humu mtusaidie.
TAARIFA MUHIMU KWA CONTINOUS STUDENTS.
Kwa wale wote continous students ambao mliapply mkopo wa elimu ya. Juu mara ya pili mnaombwa kwenda kuhakikisha kwamba taarifa zako kama zimefika board ya mikopo ya elimu ya juu kwa sababu maloan officer wengi wa vyuon huwa hawapeleki taarifa zenu ili muweze kupata mkopo.Hadi sasa hazina ipo kubwa ili kuwawezesha wanafunzi wa elimu ya juu kupata mkopo. Hadi sasa wanafunzi wa mwaka wa kwanza imefikia kiwango kikubwa kupata mkopo yaan wengi wamepata..Sasa mda huu umebaki wa continous students waliokosa miaka ya nyuma nao kunufaika na mikopo sasa basi nenda heslb ukahakiki kama loan officers walipeleka taarifa zako au hapana.. hii muhimu sana kwa sababu sasa hiv serikali ya jpm imeweka kipaumbele Elimu na inataka wanafunzi wapate mikopo bila kutoa hata senti 5 hivyo basi unapaswa kwenda heslb kuhakiki kuwa Loan officer wako wa chuo husika kama kapeleka Taarifa zako au hapana na kama hazijapelekwa una haki ya kwenda kushtaki heslb kwa kitoa jina la loan officer wako na chuo husika kwa sababu imeonekana hawa watu kupokea rushwa ili wanafunzi wengine wenye haki za msingi kukosa mikopo.. ikigundulika kama kweli bodi itamstaki na kufutwa kazi na kulipa faini...
 
Mimi ni loan beneficiary tena kwa asilimia mia moja ambae nilisoma mwaka mzima (2013/2014) mwaka wa 2014/2015 nika postpone sasa hivi nimeresume na barua ya resumption nimepeleka bodi lakini still sijawa allocated na muda wa regstn chuoni unafungwa next week naomba msaada wa namna ya kufanya sipo peke yangu....watu wa bodi mnaopita humu mtusaidie.

fasta nicheki 0766205600
 
noel oga si uweke hiyo solution ili watu wote tufaidike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom