HESLB kuna nini?

Queen lizy

Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
24
Reaction score
6
Jaman najiona kama vile Nina bahati mbaya, hivi bodi hawakujua kuwa kuna wanafunzi wanaweza kucarry hata kwa bahati mbya , sasa wanategemea ntaishije..jaman mwenye uzoefu na hili anisaidie, Mimi ni continous student second year, first semester nikiwa mwaka wa kwanza nilipata carry Over ya kozi moja, je hii yaweza kuwa sababu ya jina kangi kutokutokea kwenye sheet? Na je inatakiwa niirudie kozi kwanza ndo wanipe pesa au inakuwaje, naomben maoni yenu wakuu.
 
Carry haizuii mkopo.
 
Nenda kwa Loan officer kaulizie vizuri .
Carry haiwezi kuzuia mkopo wako .
 
Sasa kama allocation imekuja..sign sheet zitaachaje kuja??

Kaulizie kwa loan officer wako,,utakuwa upo kwenye list za wanaosubiri malipo quorter 1
 
Unapata mkopo kama kawaida,,,labda tu ulikuwa na Sup nyingi uvute subira halafu uende kwa loan officer wako,,pengine jina lipo ila bado hujaitwa kusaini.
No sina supp, but i have one carry for the first semester
 
Hamna itakuwa wamekusahau tu nenda kwa loan officer ..carry ukipata mkopo unapata km kawa
 
Usijali jina litakuja si wanatoa kwa awamu wasio na vimeo huwa yanawahi. Pole sana mkuu najua maisha ya chuo bila boom huwa msala sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…