Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wadau,leo nimeenda kumtembelea mdogo wangu wa 1st year pale hall 7{wa udsm mtakua mnapafahamu}sasa ktk kupga story,dogo akanionyesha marafiki zake kama wa tatu hvi ambao walikua wamedahiliwa hapa chuon wakiwa na points nzuri tu lakin cha kushangaza heslb imewanyima mkopo kwa kigezo kwamba corz zao sio za kipaumbele,so madogo wameamua kujikatia tamaa hvo kesho wanaondoka kurudi makwao,ebu imagne mtu ana dv 1.6 anarudi nyumban eti kisa bodi imemtema,bodi kwa nin imeamua kuzififisha ndoto za watu lakin,huyu kijana leo unaemnyima mkopo kweli atakua na uzalendo na nchi yake kweli?heslb badiliken jaman,msilete siasa za hao vilaza kama akna jk katika ishu muhimu kama elimu.