mawazo yananitesa siijui kesho yangu, nafuu ningekua sina mkopo ningesaidika na familia ama ningeacha kusoma chuo,
bodi ya mikopo hainitendei haki, nawaza kama nitadaiwa hizo pesa ilihali hawataki kunipatia.
tangu nimeanza mwaka sijapata boom hata moja, nimekopa nimeishia kwenye madeni,
Elimu imekua ngumu mno.
msaada wenu wanajamvi.
bodi ya mikopo hainitendei haki, nawaza kama nitadaiwa hizo pesa ilihali hawataki kunipatia.
tangu nimeanza mwaka sijapata boom hata moja, nimekopa nimeishia kwenye madeni,
Elimu imekua ngumu mno.
msaada wenu wanajamvi.