witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 678
- 126
nachelea kusema kuwa heslb wangexema kabisa idadi ya watu watakaopewa mkopo kwa wale wanao-appeal pia criteria za kupata mkopo sio tena kutumia mda mwingi na 5,000 alaf inakuwa matatizo hivi ni kusumbua watu na hata kupelekea mtu kuhisi kama ni mchezo wa gamble weka wazi ambaye hausiki asihangaike sababu watu wengi hawajapona majeraha ya kukosa mkopo na 30,000 imeenda bure tena leo 5,000 nayo ichukuliwe hii kiukwel not fair ,,2,,kuna hata majina yalitolewa kuwa watapewa mkopo kama wataondoa dosari ktk form zao na mwisho ilikuwa tarehe 6 mwez huu ila hadi leo tarehe 8 hakuna jibu mbaya zaidi hata link ya kuona kama umepewa wameitoa BINAFSI KWANGU NAWEZA KUSEMA HUU NI AUTOCRACY YA WATENDAJI WA HESLB NA UBABAISHAJI WA KIUTENDAJI KUNA WATU HAWAJARIPOTI VYUONI KISA HAWANA ADA KUTOLEWA HAYA MAJINA KUMEZINDUA NDOTO YAO YA KWENDA CHUO KIKUU nafikiri technology haitumiki vizuri hapa,,tufanye kazi tunahitaji kwenda mbele sio kurudi nyuma ,,WATENDAJI WA HESLB KUWENI MAKINI ni mtazamo tu