Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,392
- 7,863
Maumbile yanayo onekana na kila kitu mpaka kisicho onekana vipo kama vilivyo bila kukosewa hata punje!!!
Tambua hakuna lililo kosewa !!! Ukimuona mtoto kazaliwa na Cancer au yoyote kazaliwa na ulemavu au mtu Ana teseka kwa lolote jua KUWA hivyo ndio inavyo paswa KUWA...hakuna anae onewa kwa lolote...kinacho kufanya uone kama anaonewa ni akili yako inayo tafuta sababu katika kila Jambo!!!
Intelijensia ya uumbaji ni kamilifu isio na doa hata kidogo ...Tujifunze kuyaona Mambo na kuheshimu kila kinacho tokea Hapa ulimwenguni, yote hapo sawa kabisa ..
Mengine hutokea ili kukufunza wewe au wanao kuzunguka, na kama msipo jifunza , SoMo Hilo litajirudia mpaka mtakapo jitambua.
Ukjifungua mtoto mwenye shida furani labda ya ugonjwa jua inawezekana ni mtoto karudi Tena duniani kulipa karma (dhambi zake) au wazazi na wanao mzunguka wapate SoMo ...hakuna linalo kuja kwa bahati mbaya..
Kila unapo ona kuna Jambo ambalo si sawa kwako na kwa yeyote . kaa kimya na omba hekima katika ulicho kiona bila kuweka hisia zako ndani yake....usiwe mwepesi kuweka sababu zako za lawama juu ya lolote...HAKUNA ANAE KOSEA CHINI YA JUA!!!
YOTE YAPO SAWA HATA KAMA YANAUMIZA!!!
Tambua hakuna lililo kosewa !!! Ukimuona mtoto kazaliwa na Cancer au yoyote kazaliwa na ulemavu au mtu Ana teseka kwa lolote jua KUWA hivyo ndio inavyo paswa KUWA...hakuna anae onewa kwa lolote...kinacho kufanya uone kama anaonewa ni akili yako inayo tafuta sababu katika kila Jambo!!!
Intelijensia ya uumbaji ni kamilifu isio na doa hata kidogo ...Tujifunze kuyaona Mambo na kuheshimu kila kinacho tokea Hapa ulimwenguni, yote hapo sawa kabisa ..
Mengine hutokea ili kukufunza wewe au wanao kuzunguka, na kama msipo jifunza , SoMo Hilo litajirudia mpaka mtakapo jitambua.
Ukjifungua mtoto mwenye shida furani labda ya ugonjwa jua inawezekana ni mtoto karudi Tena duniani kulipa karma (dhambi zake) au wazazi na wanao mzunguka wapate SoMo ...hakuna linalo kuja kwa bahati mbaya..
Kila unapo ona kuna Jambo ambalo si sawa kwako na kwa yeyote . kaa kimya na omba hekima katika ulicho kiona bila kuweka hisia zako ndani yake....usiwe mwepesi kuweka sababu zako za lawama juu ya lolote...HAKUNA ANAE KOSEA CHINI YA JUA!!!
YOTE YAPO SAWA HATA KAMA YANAUMIZA!!!