Heshima ya Rais ni zaidi ya profesa, Dr, nk

Heshima ya Rais ni zaidi ya profesa, Dr, nk

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,933
OriginExpand

Middle English


Anglo-French


Middle French


Latin








Kumezoeleka katika mada, matangazo, taarifa, habari, uandishi, uchambuzi na kadhalika kuanza na President Dr. Kikwete, au Profesa President Dr Kikwete, ni makosa kitaaluma na maana halisi ya nafasi, maana, mazingira ya matumizi ya majina hayo ya heshima. Pengine ukimya wa Rais kutotoa mwongozo na kubaki kukubaliana na kuitwa hivyo dalili kwamba anapendelea hivyo lakini ukweli ni upotoshaji mkubwa wa maana, nafasi ya matumizi sahihi ya majina ya heshima.

Viongozi hawa wakitajwa moja kwa moja majina yao halisi bila majina ya utambulisho wa nafasi na majukumu yao hapo majina ya hashima hutangulizwa kabla ya jina lake kama Horn Kikwete, Dr Kiwete, Professor Kikwete nk.

President ni cheo na heshima ya juu zaidi katika nchi. Hakuna jina wala hadhi ya heshima zaidi ya kuwa mkuu au kiongozi wa nchi. Nilishaongelea mada hii huko nyuma lakini ni kukumbushia tu vinginevyo tunaonekana mbumbumbu kabisa, na hata Rais mwenyewe kukubali hivyo anaonekana kutokuwa makini, nakumbuka Nyerere alikataa katakata kutokana na uelewa wake na hakuna aliyethubutu kumwita hivyo.

Inaingia akilini

  • Mufti wa kiislamu umwite Mheshiniwa Mufti?
  • Cardinali umwite Mheshimiwa Kardinali?
  • Shekhe umwinte mheshimiwa shekhe?
  • Askofu umwite mheshimiwa Askofu?
  • Imamu umwite mheshimiwa Imam?
  • Padre umwite mheshimiwa Padre?

Wanasiasa wanaonekana elimu hii imewapiga kikumbo ndio maana utaona kama ifuatavyo
Mheshimiwa Mbunge, Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mheshimiwa makamu wa rais, mheshimiwa Katibu Mkuu, mheshimiwa mkuu wa wilaya. Wabunge ndio kabisa wamevimbishia mishipa kuitwa waheshimiwa. Mheshimiwa spika wa bunge, speaker ni heshima ya juu kabisa bungeni na hakuna zaidi yake, lakini imezoeleka hivyo, ila ni jambo linalohitajika kufanyiwa kazi.

Wanaopendelea na kufurahia kuitwa hivyo dhahiri hawajaelimika na tunahitaji kuwaelimisha. Ndio maana nyumbani baba ataitwa baba na mama ataitwa mama si mheshimiwa mama au mheshimiwa baba.
 
honorable adjective


1.in accordance with or characterized by principles of honor; upright:They were all honorable men.


2.of high rank, dignity, or distinction; noble, illustrious, or distinguished.

3.worthy of honor and high respect; estimable; creditable.

4.bringing honor or credit; consistent with honor.

5.(initial capital letter)
  • (used as a title of respect for certain ranking government officials.)
  • British. (used as a title of courtesy for children of peers rankingbelow a marquis.)Abbreviation: Hon.

    SynonymsExpand
    1. honest, noble, just.

    Examples from the web for honorableExpand
    • Barring that, he had said, he wanted to leave the service with an honorabledischarge.
    • Your attempt to promote an interactive approach and exchange of ideas ishonorable.
    • Cheating the government out of tax revenue was seen as an honorableactivity.
    adjective
    1.(prenominal) the Honourable, a title of respect placed before aname: employed before the names of various officials in the English-speaking world, as a courtesy title in Britain for the children of viscountsand barons and the younger sons of earls, and in Parliament by onemember speaking of another Hon

    Word Origin and History for honorableExpand
    adj.early 14c. (mid-13c. as a surname), from Old French honorable, from Latinhonorabilis "that procures honor, estimable, honorable," from honorare "tohonor" (see honor (n.)). Related: Honorably.
    "Now, George, you must divide the cake honorably with your brotherCharlie."--George: "What is 'honorably,' mother?" "It means that youmust give him the largest piece."--George: "Then, mother, I shouldrather Charlie would cut it." ["Smart Sayings of Bright Children,"collected by Howard Paul, 1886]

    Kawaida jina la madaraka, wajibu nk haliwezi kutanguliwa na jina la heshima isipokuwa linapotajwa jina la mhusika moja kwa moja bila jina la wajibu. Mara nyingi huwa ni sir name linalotanguliwa na jina la heshima bila kuhusisha jina la wajibu, madaraka nk.














 
Kwa mi ni ya kawaida nikujifurasha na jina jipya ni sawa sawa na shati jipya na si la mtumba
 
Mkapa alikataa kuitwa Mtukufu (His Excellency) for good reason.

Niliongekea kuhusu ulimbukeni wa kulimbikiza sifa.

Rais essentially ni CEO wa nchi.

Kumwita Dr. au Profesa ni kumshusha kwenye ualimu.

Lakini katika nchi ambayo muanzilishibwake alihubiri usawa, na akaitwa "Mwalimu Nyerere", labda inawezekana kumuita mtu kama Kikwete Dr. Profesa Mwalimu Injinia Balozi Luteni Mstaafu Kikwete.

Ditto Mwalimu.

Luteni Mstaafu per his military credential.

Ajisafi na kwenda kuhiji tu tuongeze "Alhaji" katika sifa zake.

Profesa kwa sababu kashafundisha.

Balozi, well, he is tye top diplomat in the land.

Injinia kwa sababu kainjinia "Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania"

Ila anajua kwa vichepuko anavyochepuka akienda kuhiji tutamnanga hapa.
 
Kikwete shule hakuna..hata uwezo wa kuongea English hana.ukimsikia akiongea English ni aibu! Hata form 2 aliyefeli ana afadhali. Kwa hiyo tusimlaumu kikwete maana lugha ya kigeni haipandi so nchi zilizo endelea wanalitambua hilo ndio maana wao wana mpachika majina na yeye anafurahi..mtu kama obama ana PHD tena ya Harvard lakini anaitwa president Obama sio Dr professor Obama.
Ni vituko na vichekesho
 
Kikwete shule hakuna..hata uwezo wa kuongea English hana.ukimsikia akiongea English ni aibu! Hata form 2 aliyefeli ana afadhali. Kwa hiyo tusimlaumu kikwete maana lugha ya kigeni haipandi so nchi zilizo endelea wanalitambua hilo ndio maana wao wana mpachika majina na yeye anafurahi..mtu kama obama ana PHD tena ya Harvard lakini anaitwa president Obama sio Dr professor Obama.
Ni vituko na vichekesho
wabongo bana tunapenda kuongea na kujadili vitu vya kijingajinga. Kuelimika lazima ujue kiingereza kwa ufasaha wee dengue. Tunawasomi wengi wanajua kiingereza kwa ufasaha bongo lakin holaa. Jinsi bongo sasa iv idadi ya wasomi inavyoengezeka na vyuo kuwa vingi umaamuma ndio unazid na ujinga wa hali ya juu ukilinganisha na miaka ya nyuma wasomi na elim ya juu ilikuwa ndogo. Nyambaaaff
 
Taifa letu linarudi nyuma sasa hivi kwasababu ya kuongezeka kwa wasomi na elimu ya juu. Vyuo vinatema maamuma waliokubuhu (wasomi wa sasa)bila huruma. Unfortunately we can never change because its genetic and as time goes by its intensifying. Most of the so called learned people in bongo are useless hopeless and helpless. Damn it! Let this post not distruct my focus in carrying boxes here in the morning. Nitakomaa kubeba boksi na diploma yangu. Nyambaff zetu!!!
 
Marekani wao wana Mr. President. Na wale wasomi wa Kuu wanatambulika first name last name, PhD! Hakuna cha dokta labda uwe unafundisha chuo ndo wanafunzi wan wanawaita Dr.
 
Marekani wao wana Mr. President. Na wale wasomi wa Kuu wanatambulika first name last name, PhD! Hakuna cha dokta labda uwe unafundisha chuo ndo wanafunzi wan wanawaita Dr.
Rais Obama alikuwa ni Professor ana PhD ya Sheria na kabla ya kuingia katika mambo ya siasa alikuwa anafundisha University of Chicago. Lakini hata siku moja hutasikia wanamuita Dr/Professor Obama. Tanzania ni ulimbukeni tu unatusumbua! Wanasiasa wameua elimu nchini sasa wanaanza kujipachika usomi uchwara!
 
Rais Obama alikuwa ni Professor ana PhD ya Sheria na kabla ya kuingia katika mambo ya siasa alikuwa anafundisha University of Chicago. Lakini hata siku moja hutasikia wanamuita Dr/Professor Obama. Tanzania ni ulimbukeni tu unatusumbua! Wanasiasa wameua elimu nchini sasa wanaanza kujipachika usomi uchwara!
si wenyewe wameamua hivyo kwa iyo unataka na Sisi tuige? Mbona ikija ishu ya ushoga mbona hamtaki tuige kama hao wamarekan
 
Haina shida yeyote hata kama rais aitwe dokta cjui profesa ni maamuz ya nchi ucka. Nchi na nchi zimetofautiana na maamuz na itakad zao. Si kila kitu tuige tu. Huu ni ulimbuken. Cion kuna shida yeyote bongo rais akiita dokta ama asiitwe italeta impact yeyote
 
306681_10151063016359743_1581996414_n.jpg
 
Kikwete shule hakuna..hata uwezo wa kuongea English hana.ukimsikia akiongea English ni aibu! Hata form 2 aliyefeli ana afadhali. Kwa hiyo tusimlaumu kikwete maana lugha ya kigeni haipandi so nchi zilizo endelea wanalitambua hilo ndio maana wao wana mpachika majina na yeye anafurahi..mtu kama obama ana PHD tena ya Harvard lakini anaitwa president Obama sio Dr professor Obama.
Ni vituko na vichekesho
le professeri...!
 
OriginExpand

Middle English


Anglo-French


Middle French


Latin








Kumezoeleka katika mada, matangazo, taarifa, habari, uandishi, uchambuzi na kadhalika kuanza na President Dr. Kikwete, au Profesa President Dr Kikwete, ni makosa kitaaluma na maana halisi ya nafasi, maana, mazingira ya matumizi ya majina hayo ya heshima. Pengine ukimya wa Rais kutotoa mwongozo na kubaki kukubaliana na kuitwa hivyo dalili kwamba anapendelea hivyo lakini ukweli ni upotoshaji mkubwa wa maana, nafasi ya matumizi sahihi ya majina ya heshima.

Viongozi hawa wakitajwa moja kwa moja majina yao halisi bila majina ya utambulisho wa nafasi na majukumu yao hapo majina ya hashima hutangulizwa kabla ya jina lake kama Horn Kikwete, Dr Kiwete, Professor Kikwete nk.

President ni cheo na heshima ya juu zaidi katika nchi. Hakuna jina wala hadhi ya heshima zaidi ya kuwa mkuu au kiongozi wa nchi. Nilishaongelea mada hii huko nyuma lakini ni kukumbushia tu vinginevyo tunaonekana mbumbumbu kabisa, na hata Rais mwenyewe kukubali hivyo anaonekana kutokuwa makini, nakumbuka Nyerere alikataa katakata kutokana na uelewa wake na hakuna aliyethubutu kumwita hivyo.

Inaingia akilini

  • Mufti wa kiislamu umwite Mheshiniwa Mufti?
  • Cardinali umwite Mheshimiwa Kardinali?
  • Shekhe umwinte mheshimiwa shekhe?
  • Askofu umwite mheshimiwa Askofu?
  • Imamu umwite mheshimiwa Imam?
  • Padre umwite mheshimiwa Padre?

Wanasiasa wanaonekana elimu hii imewapiga kikumbo ndio maana utaona kama ifuatavyo
Mheshimiwa Mbunge, Mheshimiwa Waziri Mkuu, Mheshimiwa makamu wa rais, mheshimiwa Katibu Mkuu, mheshimiwa mkuu wa wilaya. Wabunge ndio kabisa wamevimbishia mishipa kuitwa waheshimiwa. Mheshimiwa spika wa bunge, speaker ni heshima ya juu kabisa bungeni na hakuna zaidi yake, lakini imezoeleka hivyo, ila ni jambo linalohitajika kufanyiwa kazi.

Wanaopendelea na kufurahia kuitwa hivyo dhahiri hawajaelimika na tunahitaji kuwaelimisha. Ndio maana nyumbani baba ataitwa baba na mama ataitwa mama si mheshimiwa mama au mheshimiwa baba.
Kwani unakereka nini mh rais akiitwa Mheshimiwa Rais Profesa Dr Jakaya Mrisho Kikwete?
Si vyote ni vyake muongozo wa nini?
 
Rudia tena kusoma na uelewe kinachojadiliwa badala ya wewe kuanza kumjadili Rais Kikwete.
 
Kwani unakereka nini mh rais akiitwa Mheshimiwa Rais Profesa Dr Jakaya Mrisho Kikwete?
Si vyote ni vyake muongozo wa nini?

Wataibuka engineers na wao ktk umoja wao watamtunuku rais uinjinia...basi atakuwa akiitwa hivi - Mh. Prof. Dr. Eng. Rais Jakaya Mrisho Kikwete lol!
 
wabongo bana tunapenda kuongea na kujadili vitu vya kijingajinga. Kuelimika lazima ujue kiingereza kwa ufasaha wee dengue. Tunawasomi wengi wanajua kiingereza kwa ufasaha bongo lakin holaa. Jinsi bongo sasa iv idadi ya wasomi inavyoengezeka na vyuo kuwa vingi umaamuma ndio unazid na ujinga wa hali ya juu ukilinganisha na miaka ya nyuma wasomi na elim ya juu ilikuwa ndogo. Nyambaaaff

Jadili hiki alichokiandika huyu jamaa kama kilivyo hapa chini kwenye Blue.

''mtu kama obama ana PHD tena ya Harvard lakini anaitwa president Obama sio Dr professor Obama.Ni vituko na vichekesho''
 
Back
Top Bottom