Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,101
- 128,716
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za KMT, kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni makala elimishi ikielimisha kuhusu heshima ni kitu cha bure, binadamu wote ni sawa na kila mtu anastahili heshima kwa ubinaadamu wake, asitweze utu wake!, hivyo kuwaelimisha wana jf na mitandao ya kijamii, kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote, lakini ni lazima aheshimiwe na wote ile heshina ya kibinaadamu ya kuheshimu utu wake.
kwasababu mtu akiishakuwa rais wa nchi, hapo hapo ana assume status ya dual personality, yaani wanakuwa ni watu wawili ndani ya mmoja, two in one!, rais ni binadamu wa kawaida, at the same time rais ni taasisi, an institutional hivyo anageuka a super human!, hali, hakosei, haendi chooni, yaani sio binadamu! , hivyo rais wa nchi ni lazima aheshimiwe kwa heshima ya lazima ya kimamlaka, akosolewe kwa lugha ya staha, asitukanwe wala asitusiwe!.
Hoja hii ni kufuatia mjadala mingi kwenye mitandao ya kijamii kwenye issue ya Bandari yetu na DPW, kuna watu wamevuka mipaka na kumkosea heshima Rais Samia kwa kumkosoa kwa lugha kali, kumtweza, kumkashifu na wengine kuvuka mipaka hadi kumtukana matusi ya nguoni!, this is not right!.
Angalizo la Uzalendo Uchawa Vs Uzalendo Halisi!.
Kufuatia kuibuka kwa dhana mpya ya uchawa, kuna watu wanajiita kabisa chawa wa Mama, hivyo mtu kama mimi nikijitokeza kutaka kumtetea Rais Samia aheshimiwe wote, watu wenye akili fupi hawachelewi kuniita chawa!. Mimi sio chawa na hili sio bandiko la kichawa! ni bandiko la kukumbushana heshima ya kiasili ya Kiafrika ya heshima kitu cha bure, mkubwa kumheshimu mdogo, na mdogo kumheshimu mkubwa, heshima kwa wote.
Declaration ya Kutosaka Uteuzi.
Kumezuka mtindo wa sisi waandishi wa habari na watu wa media, tukiusifu utawala kwa mazuri au tukisifu viongozi wanapofanya mazuri, ili kuwatia moyo waendelee,, tunaonekana kuwa tunasaka uteuzi, naomba niwahakikishie tena Paskali hasaki uteuzi wowote na hili Paskali aliisha mueleza mteuzi mwenyewe face to face Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
The Duality of President. heshima ya lazima ya kimamlaka!, Akosolewe kwa Staha na Asitukanwe!.
Duality ni kanuni ya mtu mmoja kuwa na personalities mbili tofauti kwa wakati mmoja.
Rais wa nchi ni dual personality ana personalities mbili ambazo they exist in duality ndani ya mtu mmoja as one!. Yaani ni mtu mmoja mwenye two personalities ambazo zote mbili zina exist kwa pamoja ndani ya mtu mmoja as one and the same at the same time!.
Kanuni hii ya dual personality au double personality au dual imezungumzwa vizuri na Mwana Saikolojia mahiri wa Marekani, Dr. Segmund Freud katika kukichambua kitabu cha Dr. Jekyll and Mr. Hyde, kilichoandikwa na Dr. Robert Luis Stevenson aliyeandika pia kitabu cha Kisiwa chenye Hazina, Treasure Island, ambapo mtu mmoja mwenye double personality mchana yuko vingine na usiku yuko vingine kama watu wawili tofauti, na hivi ndivyo walivyo ma psychopath!.
Hii duality ipo sana kwa binadamu wote, yaani nafsi na roho, au me & I. mambo kama ya de javu, third eye, physical body na astra body, mambo ya Ying na Yang, vyote hivi vinatumia kanuni ya duality.
Wanawake wengi wanalelewa kwa kuandaliwa kuwa wife materials, ili kupata mchumba kuolewa na kuwa mke wa mtu
hivyo katika kusaka ndoa anakuwa na one personality na akiisha pata ndoa na kuolewa, ana change na ku show her true colours!, anakuwa ni mtu mwingine kabisa!.
Jamii zetu nyingi za kiasili za Kiafrika kuna watu wanaishi double life mfano mzuri ni wanga, wachawi na washirikina, ukiwaona mchana ni watu wa kawaida, lakini usiku ni watu wengine kabisa!.
Na kwenye siasa ndio usiseme!.
Ila pia kuna tofauti kati ya double personality na dual personality, double personality na mtu kuwa personality mbili tofauti, hivyo kuonekana ni watu wawili tofauti, lakini dual personality ni personality mbili tofauti ambazo they exist at the same time and place!.
Persnality ya kwanza ya Rais wa nchi ni human personality, yaani rais ni binadamu, a human being kama binadamu mwingine yoyote wa kawaida anayestahili mahitaji yote ya kibinadamu, anakula, anakwenda haja
, anahitaji zile huduma mambo mengine yote ya kibiaadamu, hivyo rais wetu Samia ni mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, huyu ni human being, she has all human needs including feelings, love and compassion na ana mahitaji mengine yote ya kibinaadamu ikiwemo kupenda, kupendwa na heshima, love and dignity and can make mistakes just like any other human beings. Hivyo huyu Samia ambaye she is only a human, unaweza kumpenda au usimpende, unaweza kumkubali au usimkubali, unaweza kumchukia, kumbeza, unaweza kumtukana na kumdhalilisha au kusema chochote kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan na hakuna tatizo!. Mfano mzuri wa hili ni huyu mtu niliyemzungumzia hapa Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu? bandiko kama hili liliwezekana kupandishwa kwasababu she is just a human na enzi hizo alikuwa na single personality, sasa with dual personality bandiko kama hili haliwezi kupanda.
Jee ni lazima kumpenda Rais?.
Kumpenda mtu yoyote ni person preferences, mtu yoyote anaweza kumpenda mtu mwingine yeyote, kwa sababu zozote au bila sababu, au unaweza usimpende kwa sababu zozote, au bila sababu, na hakuna kosa lolote kutompenda yeyote lakini hata ikitokea mtu fulani humpendi, bado una wajibu wa kumheshimu na kuulinda utu wake.
Hivyo watu wako huru kumpenda Rais Samia ama kutompenda, it's an option lakini kumheshimu is not an option ni wajibu ndio maana kumtukana mtu ni kosa.
Personality ya pili ya Rais Samia, ni rais wa nchi, hivyo huyu binadamu anaitwa Samia Suluhu Hassan, baada ya kuwa ni rais wa nchi ana, assume kitu kinachoitwa presidential personality, huyu sasa sio mtu binadamu, ni mtu taasisi yenye mamlaka ya juu kabisa ndani ya JMT, hivyo rais wa nchi kwa personality yake ya urais, ni lazima aheshimiwe, utii kwa mamlaka, huwezi kumtukana, huwezi kumdhalilisha, itakuwa ni kuitukana taasisi ya urais. Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka, iwe ni mamlaka halali au haramu, una wajibu wa kutii mamlaka, ndio maana hata enzi za yule Blaza wangu, kabla hajagombea urais, toka ile 2014 nilipoambiwa ni yeye, nilileta angalizo humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli baada tuu ya kushinda nikatoa ushauri huu Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! na pia nikatoa angalizo hili Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!
Hivyo despite all the odds heshima na utii kwa mamlaka ni jambo la wajibu!.
Rais Samia kama taasisi ya urais, huhitaji kumpenda lakini ni lazima kumheshimu!. Rais Samia kama taasisi ya urais, she is not human, hawezi kufanya makosa ndio maana hawezi kushitakiwa!.
Wito kama huu niliwahi kuutoa enzi za utawala wa JK, Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim! na wakati wa Magufuli pia nilishauri Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli
Hivyo sasa tuko na Samia, tunaweza tusimpende lakini lazima tumuheshimu na ukitokea ukosoaji, tumkosoe kwa lugha ya staha na sio kumtukana na kumdhalilisha.
Niliwahi kushauri humu kuwa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda unaweza usimpende lakini ni lazima kumheshimu.
Hitimisho
Rais Samia ni rais wetu, tumpende, tumheshimu, tumsuport, na hata ikitokea, kuna sehemu anakosea tumkosoe kwa heshima na staha.
Kwa sisi wengine ambao tunamkubali Samia kama Mama, mzazi wako, hata akukosee vipi, kamwe huwezi kumtukana!. Samia ni Mama wa Taifa, tumheshimu.
Namalizia kwa msisitizo huu
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za KMT, kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni makala elimishi ikielimisha kuhusu heshima ni kitu cha bure, binadamu wote ni sawa na kila mtu anastahili heshima kwa ubinaadamu wake, asitweze utu wake!, hivyo kuwaelimisha wana jf na mitandao ya kijamii, kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote, lakini ni lazima aheshimiwe na wote ile heshina ya kibinaadamu ya kuheshimu utu wake.
kwasababu mtu akiishakuwa rais wa nchi, hapo hapo ana assume status ya dual personality, yaani wanakuwa ni watu wawili ndani ya mmoja, two in one!, rais ni binadamu wa kawaida, at the same time rais ni taasisi, an institutional hivyo anageuka a super human!, hali, hakosei, haendi chooni, yaani sio binadamu! , hivyo rais wa nchi ni lazima aheshimiwe kwa heshima ya lazima ya kimamlaka, akosolewe kwa lugha ya staha, asitukanwe wala asitusiwe!.
Hoja hii ni kufuatia mjadala mingi kwenye mitandao ya kijamii kwenye issue ya Bandari yetu na DPW, kuna watu wamevuka mipaka na kumkosea heshima Rais Samia kwa kumkosoa kwa lugha kali, kumtweza, kumkashifu na wengine kuvuka mipaka hadi kumtukana matusi ya nguoni!, this is not right!.
Angalizo la Uzalendo Uchawa Vs Uzalendo Halisi!.
Kufuatia kuibuka kwa dhana mpya ya uchawa, kuna watu wanajiita kabisa chawa wa Mama, hivyo mtu kama mimi nikijitokeza kutaka kumtetea Rais Samia aheshimiwe wote, watu wenye akili fupi hawachelewi kuniita chawa!. Mimi sio chawa na hili sio bandiko la kichawa! ni bandiko la kukumbushana heshima ya kiasili ya Kiafrika ya heshima kitu cha bure, mkubwa kumheshimu mdogo, na mdogo kumheshimu mkubwa, heshima kwa wote.
Declaration ya Kutosaka Uteuzi.
Kumezuka mtindo wa sisi waandishi wa habari na watu wa media, tukiusifu utawala kwa mazuri au tukisifu viongozi wanapofanya mazuri, ili kuwatia moyo waendelee,, tunaonekana kuwa tunasaka uteuzi, naomba niwahakikishie tena Paskali hasaki uteuzi wowote na hili Paskali aliisha mueleza mteuzi mwenyewe face to face Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
The Duality of President. heshima ya lazima ya kimamlaka!, Akosolewe kwa Staha na Asitukanwe!.
Duality ni kanuni ya mtu mmoja kuwa na personalities mbili tofauti kwa wakati mmoja.
Rais wa nchi ni dual personality ana personalities mbili ambazo they exist in duality ndani ya mtu mmoja as one!. Yaani ni mtu mmoja mwenye two personalities ambazo zote mbili zina exist kwa pamoja ndani ya mtu mmoja as one and the same at the same time!.
Kanuni hii ya dual personality au double personality au dual imezungumzwa vizuri na Mwana Saikolojia mahiri wa Marekani, Dr. Segmund Freud katika kukichambua kitabu cha Dr. Jekyll and Mr. Hyde, kilichoandikwa na Dr. Robert Luis Stevenson aliyeandika pia kitabu cha Kisiwa chenye Hazina, Treasure Island, ambapo mtu mmoja mwenye double personality mchana yuko vingine na usiku yuko vingine kama watu wawili tofauti, na hivi ndivyo walivyo ma psychopath!.
Hii duality ipo sana kwa binadamu wote, yaani nafsi na roho, au me & I. mambo kama ya de javu, third eye, physical body na astra body, mambo ya Ying na Yang, vyote hivi vinatumia kanuni ya duality.
Wanawake wengi wanalelewa kwa kuandaliwa kuwa wife materials, ili kupata mchumba kuolewa na kuwa mke wa mtu
hivyo katika kusaka ndoa anakuwa na one personality na akiisha pata ndoa na kuolewa, ana change na ku show her true colours!, anakuwa ni mtu mwingine kabisa!.
Jamii zetu nyingi za kiasili za Kiafrika kuna watu wanaishi double life mfano mzuri ni wanga, wachawi na washirikina, ukiwaona mchana ni watu wa kawaida, lakini usiku ni watu wengine kabisa!.
Na kwenye siasa ndio usiseme!.
Ila pia kuna tofauti kati ya double personality na dual personality, double personality na mtu kuwa personality mbili tofauti, hivyo kuonekana ni watu wawili tofauti, lakini dual personality ni personality mbili tofauti ambazo they exist at the same time and place!.
Persnality ya kwanza ya Rais wa nchi ni human personality, yaani rais ni binadamu, a human being kama binadamu mwingine yoyote wa kawaida anayestahili mahitaji yote ya kibinadamu, anakula, anakwenda haja
, anahitaji zile huduma mambo mengine yote ya kibiaadamu, hivyo rais wetu Samia ni mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan, huyu ni human being, she has all human needs including feelings, love and compassion na ana mahitaji mengine yote ya kibinaadamu ikiwemo kupenda, kupendwa na heshima, love and dignity and can make mistakes just like any other human beings. Hivyo huyu Samia ambaye she is only a human, unaweza kumpenda au usimpende, unaweza kumkubali au usimkubali, unaweza kumchukia, kumbeza, unaweza kumtukana na kumdhalilisha au kusema chochote kumhusu mtu anayeitwa Samia Suluhu Hassan na hakuna tatizo!. Mfano mzuri wa hili ni huyu mtu niliyemzungumzia hapa Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu? bandiko kama hili liliwezekana kupandishwa kwasababu she is just a human na enzi hizo alikuwa na single personality, sasa with dual personality bandiko kama hili haliwezi kupanda.
Jee ni lazima kumpenda Rais?.
Kumpenda mtu yoyote ni person preferences, mtu yoyote anaweza kumpenda mtu mwingine yeyote, kwa sababu zozote au bila sababu, au unaweza usimpende kwa sababu zozote, au bila sababu, na hakuna kosa lolote kutompenda yeyote lakini hata ikitokea mtu fulani humpendi, bado una wajibu wa kumheshimu na kuulinda utu wake.
Hivyo watu wako huru kumpenda Rais Samia ama kutompenda, it's an option lakini kumheshimu is not an option ni wajibu ndio maana kumtukana mtu ni kosa.
Personality ya pili ya Rais Samia, ni rais wa nchi, hivyo huyu binadamu anaitwa Samia Suluhu Hassan, baada ya kuwa ni rais wa nchi ana, assume kitu kinachoitwa presidential personality, huyu sasa sio mtu binadamu, ni mtu taasisi yenye mamlaka ya juu kabisa ndani ya JMT, hivyo rais wa nchi kwa personality yake ya urais, ni lazima aheshimiwe, utii kwa mamlaka, huwezi kumtukana, huwezi kumdhalilisha, itakuwa ni kuitukana taasisi ya urais. Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka, iwe ni mamlaka halali au haramu, una wajibu wa kutii mamlaka, ndio maana hata enzi za yule Blaza wangu, kabla hajagombea urais, toka ile 2014 nilipoambiwa ni yeye, nilileta angalizo humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli baada tuu ya kushinda nikatoa ushauri huu Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! na pia nikatoa angalizo hili Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!
Hivyo despite all the odds heshima na utii kwa mamlaka ni jambo la wajibu!.
Rais Samia kama taasisi ya urais, huhitaji kumpenda lakini ni lazima kumheshimu!. Rais Samia kama taasisi ya urais, she is not human, hawezi kufanya makosa ndio maana hawezi kushitakiwa!.
Wito kama huu niliwahi kuutoa enzi za utawala wa JK, Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim! na wakati wa Magufuli pia nilishauri Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli
Hivyo sasa tuko na Samia, tunaweza tusimpende lakini lazima tumuheshimu na ukitokea ukosoaji, tumkosoe kwa lugha ya staha na sio kumtukana na kumdhalilisha.
Niliwahi kushauri humu kuwa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda unaweza usimpende lakini ni lazima kumheshimu.
Hitimisho
Rais Samia ni rais wetu, tumpende, tumheshimu, tumsuport, na hata ikitokea, kuna sehemu anakosea tumkosoe kwa heshima na staha.
Kwa sisi wengine ambao tunamkubali Samia kama Mama, mzazi wako, hata akukosee vipi, kamwe huwezi kumtukana!. Samia ni Mama wa Taifa, tumheshimu.
Namalizia kwa msisitizo huu