Dadamtu
JF-Expert Member
- Sep 10, 2023
- 481
- 1,056
Muha .Halafu mtu alete ngonjera ya katiba Mpya
Muha .Halafu mtu alete ngonjera ya katiba Mpya
Ana takiwa alie sana. Chadema ina susia wanadhani wao wata onewa huruma?Abdul Nondo anasema kwenye kituo Kimoja huko Mbarali chenye Wapiga kura 70 fomu ya majumuisho iliyosainiwa na Tume ya Uchaguzi inasomeka ACT Wazalendo wamepata kura 40 na CCM wamepata kura 63 Vyama vingine kura 3
40+63+2+1=70
RIP Shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi
View attachment 2755541
63 +4 + 2 + 1 =70 ☑️Abdul Nondo anasema kwenye kituo Kimoja huko Mbarali chenye Wapiga kura 70 fomu ya majumuisho iliyosainiwa na Tume ya Uchaguzi inasomeka ACT Wazalendo wamepata kura 40 na CCM wamepata kura 63 Vyama vingine kura 3
40+63+2+1=70
RIP Shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi 😀😀🌟🔥
View attachment 2755541
CCM kwenye wizi ni kiboko .... Mimi nilipiga Kura kabisaaaa za udiwani nikawapa Kura ACT maana mgombea wao alitoka CCM baada ya kukatwa juu Kwa juu ....matokeo kubandikwa Wacha weee hata Ile Kura yangu Moja kwenye hicho kituo wakaikwiba ... CCM wako vizuri mnoo Kwa wizi....Usiamini kia unachokiona kwenye mtandao.
Kama ni kweli sheria za uchaguzi si zipo na rufaa si zipo?
Wala hakusingiziwa TUMECCM ndio hii hii POLICCM ndio hawa hawa CCM bila WIZI wa kura HAWASHINDIAbdul Nondo anasema kwenye kituo Kimoja huko Mbarali chenye Wapiga kura 70 fomu ya majumuisho iliyosainiwa na Tume ya Uchaguzi inasomeka ACT Wazalendo wamepata kura 40 na CCM wamepata kura 63 Vyama vingine kura 3
40+63+2+1=70
RIP Shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi
View attachment 2755541