johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Abdul Nondo anasema kwenye kituo Kimoja huko Mbarali chenye Wapiga kura 70 fomu ya majumuisho iliyosainiwa na Tume ya Uchaguzi inasomeka ACT Wazalendo wamepata kura 40 na CCM wamepata kura 63 Vyama vingine kura 3
40+63+2+1=70
RIP Shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi ๐๐๐๐ฅ
40+63+2+1=70
RIP Shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi ๐๐๐๐ฅ