Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,229
Mmevuka mpaka
Acha ujinga wewe utopoloYanga na manara wanaonewa sana, uonevu sasa basi
Labda Moto wa mabuaWakijaribu hata kumpa onyo Injinia nakuambia nchi itawaka moto ndipo watajua kwamba yanga ni wananchi
Wajinga lazima wanyooshwe wewe utopoloKaria anaiga tabia za magu. Anataka aogopwe, sijui na yeye katoka chato
Na bado hadi ujinga uwatoke woteNa Manara akiongezewa adhabu tutaanisha maandamano yasiyokoma, Sisi Yanga tunaonewa sana
Hakika hatutakubali, tutakiwasha balaa sisi yanga ndo wenye nchi.Engineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies
Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa
HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi
wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti
We manara huna akili.Engineeer wala usiogope hata kidogo, hawana la kukufanya ndugu yangu we endelea na shughuli zako hata siku wakikuita kaa nyumbani kwako angalia movies
Hawana la kukufanya maana nchi itawaka moto nakuapia labda itabidi jeshi liingilie kati, yaani mmewapa mtego nao wakajaa
HERSI, ARAFAT, SIMON PATRICK, MANARA , hivi vichwa vinne hatari sana vitaifikisha mbali sana yanga kimaendeleo nawakubali sana vision yenu na jinsi mnavyoendesha mambo ki uweledi
wametaka vita na Yanga, wapeni vita , kwisha kazi yao bora team ishushwe daraja ila siyo kumuoneaonea Bugatti
Tanzania tuna pumbazo la Yanga na Simba. Mambo yanayo athiri maisha hatuna habari nayo.Wananchi vichaa? Subiri jumatano ya Mwezi ujao petrol 4000/=
Umenikumbusha kipindi tunasoma kuna jamaa aliitwa ofisini kwa HM sa wadau wakampampu kwamba usiende usiende akikuzingua tunakinusha, baada ya mda mwalimu wa nidham akamfata jamaa akambeba msobe msobe jamaa akala mbata za kufa mtu na susp ya siku 21 na hakuna hata mmoja alisimama kumtetea ndo nkakumbuka msemo together we stand alone you sufferNa hii ndio bongo wanakujaza upepo ukijaa ukaalibu wanapotea
MBUMBUMBU hamtaelewa mpaka muone BAKORAWananchi hawahawa wa Tz tunaowajua??
Ni lini Tz iliwahi kuwa na wananchi wanaoweza kuuwasha moto na nchi isikalike, au labda ulimaanisha haitakalika mitandaoni kama hivi??
Hao ndio wabongo mwingine wakutoa ushuhuda ni Mange na MboweUmenikumbusha kipindi tunasoma kuna jamaa aliitwa ofisini kwa HM sa wadau wakampampu kwamba usiende usiende akikuzingua tunakinusha, baada ya mda mwalimu wa nidham akamfata jamaa akambeba msobe msobe jamaa akala mbata za kufa mtu na susp ya siku 21 na hakuna hata mmoja alisimama kumtetea ndo nkakumbuka msemo together we stand alone you suffer