matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Prodyuza wa muziki,ambaye pia ndio C.E.O wa studio za B-Hitz,Hermy B achukizwa na Joh Makini,atoa tamko lake kwenye ukurasa wake wa SuraKitabu(Facebook)..
"Joh Makini You Have Officially Pissed Of B'Hits,wimbo wa Bye Bye tulikupa bure baada ya kutujibu kwa dhiaka tulipodai malipo yetu,Hata kutupa Credit zetu kwenye video umeona kazi pia,ama kweli shukrani ya punda ni mateke,we mtu gani??kumbuka enzi za Magic Fm!!! "
B Hitz ndio waliopika hitsongs kadhaa za Joh Makini kama 'show za Joe' na 'blue magic'..
Source:blog ya truthwelltold
"Joh Makini You Have Officially Pissed Of B'Hits,wimbo wa Bye Bye tulikupa bure baada ya kutujibu kwa dhiaka tulipodai malipo yetu,Hata kutupa Credit zetu kwenye video umeona kazi pia,ama kweli shukrani ya punda ni mateke,we mtu gani??kumbuka enzi za Magic Fm!!! "
B Hitz ndio waliopika hitsongs kadhaa za Joh Makini kama 'show za Joe' na 'blue magic'..
Source:blog ya truthwelltold