kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
Nimefanikiwa kutizama mechi kadhaa za Yanga Africa hasa hizi zilizochezwa uwanja ww taifa saa moja jioni nachelea kusema kwamba huyu jamaa hamna kitu pale, hamna striker mwenye hadhi ya kuwa katika klabu kubwa kama yanga, Marcel Kaheza ni bora kuliko huyu mkongomani, usajili huu ni upotevu wa rasilimali fedha kwa timu inayohaha kuchangisha fedha za kujiendesha, ushauri wangu ni wafanye juu chini wapate mshambuliaji wa uhakika kwenye dirisha dogo la usajili au waanze kumchezesha zaidi Amiss Tambwe ili kumjengea kujiamini zaidi huenda akawapa matokeo kuliko hili garasa.
Yangu ni hayo na povu kutoka kwa watani ni ruksa kabisa.
Yangu ni hayo na povu kutoka kwa watani ni ruksa kabisa.