Heri Zitto Kabwe kuliko Dr.slaa


Halafu mkiambiwa bongo lala mnachukia, hivi nani msaliti kati ya Mbowe na Dr,? kumkaribisha fisadi aliyetemwa na Chama chake na kugeuza maneno -jana mkimwita fisadi leo malaika ndio nini?
Nampongeza sana Slaa na watu wote wapinzani wa kweli wanamuunga mkono.
Mjue Lowassa haji yeye tu, anakuja na mfumo ule ule wa CCM tunaopambana nao.
Lakini mnashangilia kama ma.zuzu. nasema mtaniambia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…