abdi ally
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,563
- 2,169
hapo ndio vichwa vya chini husimama na kuona kinapendwa sanaMapenzi yangu hayajawahi kupungua kwako hata wewe wajua
hapo ndio vichwa vya chini husimama na kuona kinapendwa sanaMapenzi yangu hayajawahi kupungua kwako hata wewe wajua
Wax mbona unamwambia mke wangu maneno ambayo namwambiaga angalia sana nitakuharibia ikulu hiyoKwel kabsaa Ndiyo maana nakupenda kila siku mke wangu
Ubarikiwe Sana
Upo serious mkuu unacho kisema??Wax mbona unamwambia mke wangu maneno ambayo namwambiaga angalia sana nitakuharibia ikulu hiyo
Mkuu acha wivu tafuta wako tuuhapo ndio vichwa vya chini husimama na kuona kinapendwa sana
Mm ninae teyar bint wa kitanga kizgua dot com wa handen kwa msisi ful sauti ya kumtoa nyoka pangoniMkuu acha wivu tafuta wako tuu
Mzee baba huyu ni wangu
Kuchepuka ndio chanzo cha haya yote... Mke anabaki na maumivu kwa kuwa wanawake wengi huwa hawaondoki kwa ajili ya uasherati wa mme, inafikia hadi mme wa mtu anazaa na wanawake wengine...hapa hamjui ni kiasi gani mnawaumiza wake zenu.. Lkn bado ataendelea kuwa na wewe, akisema unazuka ugomvi mkubwa. Kipato cha familia mme anahonga michepuko mke akiomba anaambiwa hela hakuna, acheni kutafuta vi-excuse vya kuwaumiza wake zenu ili msiumizwe uzeeni hadi na watoto wenu ambao wameshuhudia tabia zako chafu... Wapo wazee wanaofurahia maisha ya bibi na babu kwa kuwa waliishi vizuri na wake zao. Km umeamua kuoa kwann Kuzaa zaa hovyo na makahaba, si ungebaki bachelor ukazaa na uwatakao kwa uhuru?
MNAYATAKA WENYEWE MKATAE MKUBALI
Ok SawaMm ninae teyar bint wa kitanga kizgua dot com wa handen kwa msisi ful sauti ya kumtoa nyoka pangoni
haki yake anapata ni mwendo wa viduku tu kusimamia ukucha wa kidole gumbaOk Sawa
Mpe haki yake vzr Kwel Kwel hadi aite maji wotooo
WataalamMnashauriwa na nani?
Safi Sana Hongera sanaaaahaki yake anapata ni mwendo wa viduku tu kusimamia ukucha wa kidole gumba
Ubarikiwe.Asante kwa kutukumbusha, na sisi tuangalie tunakosea wapi![]()
Ndiyo maana wanaume tunatakiwa kuwa na vikao vya pamoja kila baada ya kila miezi 3.Habari wapendwa, naamini jpili njema na mujarab.
Wiki iliyopima nilipata fursa ya kuhudhulia seminar ya neno la Mungu katika harakati za kujijenga kiimani. Baada ya Seminar Pastor akasema Mwenye Shinda yeyote asimame na kueleza umma. Sikuamini macho Yangu yaani alisimama mbaba wa age btn 65-70 akiwa na majonzi anadai ina matatizo ya ndoa. Pastor akamwambia wataongea private. Niliumia sana nikamkumbuka kuna Mzee mmoja naye nilishuhudia waligawana vyumba na Mkewe, yeye banda la uani, Mke Nyumba kubwa Bahati mbaya Mzee hiyo Mzee amefariki. Hizi vurugu za ndoa ni bora zikupate ujanani unaweza kujipanga na kusonga mbele. Tuishi nao kwa akili, leo unafurahi ndoa yako ukafikili ndo mtazeeka pamoja.
Unachepuka kutafuta nini ambacho kwa mkeo hakipo?Ndoa ni ndoano dawa ya kuondoa stress hizi ni kuchepuka tu amna namna mana wanawake ni ugonjwa wa kanza part II
Unachepuka kutafuta nini ambacho kwa mkeo hakipo?
Na Mimi nimeuliza hivyo nasubiri jibuKwani wanaume wote wanaochepuka wanakosa nini
Na Mimi nimeuliza hivyo nasubiri jibu