Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 575
- 1,131
Habari wapendwa, naamini jpili njema na mujarab.
Wiki iliyopima nilipata fursa ya kuhudhulia seminar ya neno la Mungu katika harakati za kujijenga kiimani. Baada ya Seminar Pastor akasema Mwenye Shinda yeyote asimame na kueleza umma. Sikuamini macho Yangu yaani alisimama mbaba wa age btn 65-70 akiwa na majonzi anadai ina matatizo ya ndoa. Pastor akamwambia wataongea private. Niliumia sana nikamkumbuka kuna Mzee mmoja naye nilishuhudia waligawana vyumba na Mkewe, yeye banda la uani, Mke Nyumba kubwa Bahati mbaya Mzee hiyo Mzee amefariki. Hizi vurugu za ndoa ni bora zikupate ujanani unaweza kujipanga na kusonga mbele. Tuishi nao kwa akili, leo unafurahi ndoa yako ukafikili ndo mtazeeka pamoja.
Wiki iliyopima nilipata fursa ya kuhudhulia seminar ya neno la Mungu katika harakati za kujijenga kiimani. Baada ya Seminar Pastor akasema Mwenye Shinda yeyote asimame na kueleza umma. Sikuamini macho Yangu yaani alisimama mbaba wa age btn 65-70 akiwa na majonzi anadai ina matatizo ya ndoa. Pastor akamwambia wataongea private. Niliumia sana nikamkumbuka kuna Mzee mmoja naye nilishuhudia waligawana vyumba na Mkewe, yeye banda la uani, Mke Nyumba kubwa Bahati mbaya Mzee hiyo Mzee amefariki. Hizi vurugu za ndoa ni bora zikupate ujanani unaweza kujipanga na kusonga mbele. Tuishi nao kwa akili, leo unafurahi ndoa yako ukafikili ndo mtazeeka pamoja.