Nani alikuambia wachina hawajaenda shule. Wao wanajifunza kwa lugha yao mpaka PhD. Hivyo kutojua kwao kiingereza isikufanye ufikiri kuwa hawajasoma.Wachina wangu hapa niliwauliza " mna vyeti ya kazi mnazofanya" JIBU hatuna...muhimu kwetu ni kujua kazi kwa vitendo NA tunatumia natural leadership & mgt skills Na tunaweza kushindana na nchi zote duniani..na wapili kwa uchumi duniani...kingereza hatujui...BASHITE PIGA KAZI......WENYEVYETI wamefeli na wametuibia miaka yote....MUNGU KAKUPA UWEZO NA KIPAJI kitumie...TUSAIDIE wtzania
By, the way, huwezi kurun a modern economy kama China bila watu wako kuwa wameenda shule ya maana.