Hepuka kula kemikali wakati wa kufanya mapenzi!

kabindi

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
333
120
Niliudhuria moja ya semina kuhusiana na kemikali za viwanda vya nguo na ngozi! moja ya mtoa mada ktoka ofisi ya Mkemia Mkuu alieleza faida na madhara yatokanao na matumizi mabaya ya Kemikali kwa afya za binadamu na mazingira! baada ya hayo alisisitiza kwamba inabidi tuwe wawazi! kama ambavyo tunahubiri matumizi ya Condom! kwamba watu wengi wanatafuna Kemikali wakati wa Mapenzi! kwani wanaiga utamaduni wa kigeni wa kulambana kama vile Ng'ombe anavyomlamba ndama wake! kuanzia juu hadi chini! unakuta mtu kapaka Lotion, madawa ya ngozi, sabuni za kemikali hatari, madawa ya fangasi nk. kwa kuwa ni kama watu wanakuwa kama wamepoteza fahamu kwa muda au kuwa wajinga kwa wakati huo, wanafanya mambo bila kujua kinachowaeza tokea! kama kupata madhara makubwa kama vile kansa, n.k kulingana na aina ya Kemikali na wingi wake! NILISIKIA KUISHIWA NGUVU! Kumbe tuna hatari nyingi mbele ya maisha yetu!
 
kweli hicho kitu kipo kabisa
pia napenda uelewe kuwa kuna wagonjwa wengi sana tz ambao bado hawajaanza kuonyesha signs and symptoms
kwa sababu magonjwa kama cancer let say, huwa yanachukua mda mrefu sana kwa mtu kujulikana kama anaumwa na hii ni kwa sababu ya kutokuwa na tabia ya kuchukua medicla check-up regulary
 
Nashauri wapenzi waoge na wawe wasafi kabla na baada ya kufanya mapenzi.
 
Niliudhuria moja ya semina kuhusiana na kemikali za viwanda vya nguo na ngozi! moja ya mtoa mada ktoka ofisi ya Mkemia Mkuu alieleza faida na madhara yatokanao na matumizi mabaya ya Kemikali kwa afya za binadamu na mazingira! baada ya hayo alisisitiza kwamba inabidi tuwe wawazi! kama ambavyo tunahubiri matumizi ya Condom! kwamba watu wengi wanatafuna Kemikali wakati wa Mapenzi! kwani wanaiga utamaduni wa kigeni wa kulambana kama vile Ng'ombe anavyomlamba ndama wake! kuanzia juu hadi chini! unakuta mtu kapaka Lotion, madawa ya ngozi, sabuni za kemikali hatari, madawa ya fangasi nk. kwa kuwa ni kama watu wanakuwa kama wamepoteza fahamu kwa muda au kuwa wajinga kwa wakati huo, wanafanya mambo bila kujua kinachowaeza tokea! kama kupata madhara makubwa kama vile kansa, n.k kulingana na aina ya Kemikali na wingi wake! NILISIKIA KUISHIWA NGUVU! Kumbe tuna hatari nyingi mbele ya maisha yetu!
Huyo anayemnyonya na kumlamba mwanamke viungo vyake vya mwili wakati wa ngono kabla hawajaoga ni mwendawazimu, na anastahili hayo madhara
 
nikweli kabisa asa demu kama umempata fasta alafu unataka kuonyesha ufundi
 
kuoga muhimu aisee
...Mazee suala si kwamba mademu haowaogi kuna wengine anaoga usiku kama kawaida lakini anakwambia lazima apake lotion kwa madai kuwa ngozi yake inakauka na ndio muda mnajiandaa kugongana...Nimewahi kukutana na wa aina hiyo tena hapa hapa mjini na joto lote hili............:hand::hand:
 
Duh, ila kweli. Watu tushekula sana poda, enjo fesi, losheni, vaseline, diodoranti, wanja, pulistiki, hea rimuva, pafyumu, rangi za kucha..
Mh, ila dada zetu nao wamezidi kujipodoa, we vitu vyote hivyo umepaka mwilini!
 
mi mke wangu lazima apake location baada ya kuoga hivyo wakati wa ....... kumbe nailamba pasipo kujitambua (jamaa katuma kuwa tuankuwa wajinga kwa wakati huo)
 
Thanks Kabindi.. kusema ukweli wengi tunahatarisha sana afya zetu, lakini sasa kwa maisha haya ya TV unaweza kuendelea na tendo bila vitu hivyo?

Nadhani cha maana ni kuoga vizuri kabla ya tendo na kutopakaa aina yoyote ya chemical hadi baada ya tendo

Thansk for a good one
 
Hapo bado hujazungumzia kuhusu lile jasho linalotoka kwenye nywele za wakina dada zetu ni noma, lets be very carefully ma people
 
aksante kwa hilo ila kwa maisha ya sasa kuiepuka sumu ni kazi kubwa.
 
yaani mnenichekesha vibaya mno kwa jinsi ambavyo hamjui majina ya hivyo vitu @Kidundulima ile mkeo anayopaka inaitwa lotion na sio location @TheChoji hakuna hair remover ni nail remover na sio pulistiki ni lipstick.

Kwa kweli mmenifurahisha sana yaani nimecheka mno ila sio kosa lenu kuwa hamvijui hivyo vitu
 
Hapo bado hujazungumzia kuhusu lile jasho linalotoka kwenye nywele za wakina dada zetu ni noma, lets be very carefully ma people

kwani nyie huo hamnaga hizo nywele na huwa hamtoki majasho?sio wanawake pekee wanaopaka vitu venye chemicals hata wanaume pia.tena wanaume ndio wavivu sana kuoga kabla ya tendo.wajifunze wasije kuwarestisha inpeace dada zetu.mie nshazoea kutumia mafuta ya mgando na kuogea sabuni ya mbuni,km kemikali nizitoe kwa mwanaume! ila wapenz wawe na desturi ya kuoga tena kwa sabuni kabla ya kula tunda
 
Duh, ila kweli. Watu tushekula sana poda, enjo fesi, losheni, vaseline, diodoranti, wanja, pulistiki, hea rimuva, pafyumu, rangi za kucha..
Mh, ila dada zetu nao wamezidi kujipodoa, we vitu vyote hivyo umepaka mwilini!

kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! hiyo kali ndugu imenichekesha sana!
 
Back
Top Bottom