Kwa kitendo cha Yanga kupata ushindi wa magoli 5 kwenye mechi 7 ndani ya msimu mmoja (huku mashindano mbalimbali yakiwa bado yanaendelea) na kuwabamiza vibaya CR Belouizdad (mabingwa mara nne mfululizo wa ligi kuu ya Algeria), wameonesha pasipo shaka kuwa wao ni bora sana msimu huu. Kwenye mathematics tumezoea kusema 'hence shown'
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app