Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Nachukia sana aina ya Utangazaji ya huyu dogo. Kulia sio kulia, kulalamika sio kulalamika, almradi mbwembwe na kuchamba kwingi.
Yanga wa kutupwa huyo mgeni kwenye fani ya uandishi wa habari. Mwache apaparike tu njaa inamsumbua..
Anaripoti utadhani anataka kukata roho!
Nachukia sana aina ya Utangazaji ya huyu dogo. Kulia sio kulia, kulalamika sio kulalamika, almradi mbwembwe na kuchamba kwingi.
Anaripoti utadhani anataka kukata roho!
Sawa na yule George Maratu wa ITViiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Kweli Tanzania na wasomi wa utangazaji. jamani angalieni CITIZEN Kenya mjifunze! Mnakera tafadhali acheni hasa huyo Kivuyo!
Sawa na yule George Maratu wa ITViiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Kweli Tanzania na wasomi wa utangazaji. jamani angalieni CITIZEN Kenya mjifunze! Mnakera tafadhali acheni hasa huyo Kivuyo!