help please

imaney

JF-Expert Member
Nov 10, 2012
1,014
314
Najua hili swala sio la MMU ila huku ndio kwenye watu wengi, naombeni msaada, ni hivi wazazi wangu waliachana mwaka 2002 ambapo mama alikuwa uk, akaja kutuchukua mie na mdogo wangu wakati huo tulipewa work permit dependants vizas, kaka yangu kwa kuwa umri ulikuwa mkubwa akakataliwa, na bahati mbaya aliingia chuo hapo bongo, akaingia hadi mwaka wa tatu akaacha akisema ni ngumu kwa ujumla maisha yake hapo bongo ni magumu, na sie huku ulaya sio kwamba ni mazuri ila at least tukipata hizo benefits zao siku zinaenda....

Huyu kaka yangu nahisi anaumwa schizoprenia kama mimi kwa sababu ashawahi kuwa mad twice na mama ikabidi aje kumuangalia sasa wapendwa nimemconsult lawyer mmoja wa huku akaniambia ni mpaka niprove hakuna means za kujicare himself in my home country and second he doesnt advice to make application kwa sababu ni complex kujaza na very expensive

Hapa nachowaomba mnisaidie je kuna mtu ashawahi kufanya application? naomba maujuzi, na nyie wana MMU naombeni mauongo ya kujaza manake a strong case

Thanks.
 
najua hili swala sio la MMU ila huku ndio kwnye watu wengi,naombeni msaada ,ni hivi wazazi wangu waliachana mwaka 2002 ambapo mama alikuwa uk,akaja kutuchukua mie na mdogo wangu wakati huo tulipewa work permit dependants vizas,kaka yangu kwa kuwa umri ulikuwa mkubwa akakataliwa,na bahati mbaya aliingia chuo hapo bongo,akaingia hadi mwaka wa tatu akaacha akisema ni ngumu kwa ujumla maisha yake hapo bongo ni magumu,na sie huku ulaya sio kwamba ni mazuri ila at least tukipata hizo benefits zao siku zinaenda........................
huyu kaka yangu nahisi anaumwa schizoprenia kama mimi kwa sababu ashawahi kuwa mad twice na mama ikabidi aje kumuangalia sasa wwapendwa nimemconsult lawyer mmoja wa huku akaniambia ni mpaka niprove hakuna means za kujicare himself in my home country and second he doesnt advice to make application kwa sababu ni complex kujaza na very expensive

hapa nachowaomba mnisaidie je kuna mtu ashawahi kufanya application? naomba maujuzi ,na nyie wana MMU naombeni mauongo ya kujaza kumake a strong case

thanks

Mkuu maelezo yako nahisi yanajichanganya...
Kuna mahali huyo nduguyo mwenye shida umeandika ni mkubwa kwako na mahala pengine umeandika kama ni mdogo wako.

Kama sababu za kukataliwa huyo ndugu yako ni umri mkubwa, mbona wewe kaka mtu ambaye ni mkubwa zaidi yake hukukataliwa??

NB:
Schizophrenia is a long-term mental health condition that causes a range of different psychological symptoms, including:

  • hallucinations - hearing or seeing things that do not exist
  • delusions - unusual beliefs not based on reality which often contradict the evidence
  • muddled thoughts based on the hallucinations or delusions
  • changes in behaviour

Doctors often describe schizophrenia as a psychotic illness. This means sometimes a person may not be able to distinguish their own thoughts and ideas from reality.
 
Mkuu maelezo yako nahisi yanajichanganya...
Kuna mahali huyo nduguyo mwenye shida umeandika ni mkubwa kwako na mahala pengine umeandika kama ni mdogo wako.

Kama sababu za kukataliwa huyo ndugu yako ni umri mkubwa, mbona wewe kaka mtu ambaye ni mkubwa zaidi yake hukukataliwa??

NB:
Schizophrenia is a long-term mental health condition that causes a range of different psychological symptoms, including:

  • hallucinations - hearing or seeing things that do not exist
  • delusions - unusual beliefs not based on reality which often contradict the evidence
  • muddled thoughts based on the hallucinations or delusions
  • changes in behaviour

Doctors often describe schizophrenia as a psychotic illness. This means sometimes a person may not be able to distinguish their own thoughts and ideas from reality.

wewe ndio hujaelewa,labda nilivyoprent...ila tuliochukuliwa ni mimi na mdogo wangu wa kike,ambaye ni mdogo kwangu,kaka yetu alibaki ambaye ni mkubwa kwetu,kipi usichokielewa mkuu???
 
Mkuu maelezo yako nahisi yanajichanganya...
Kuna mahali huyo nduguyo mwenye shida umeandika ni mkubwa kwako na mahala pengine umeandika kama ni mdogo wako.

Kama sababu za kukataliwa huyo ndugu yako ni umri mkubwa, mbona wewe kaka mtu ambaye ni mkubwa zaidi yake hukukataliwa??

NB:
Schizophrenia is a long-term mental health condition that causes a range of different psychological symptoms, including:

  • hallucinations - hearing or seeing things that do not exist
  • delusions - unusual beliefs not based on reality which often contradict the evidence
  • muddled thoughts based on the hallucinations or delusions
  • changes in behaviour

Doctors often describe schizophrenia as a psychotic illness. This means sometimes a person may not be able to distinguish their own thoughts and ideas from reality.

Yeye na mdogo wake walipata viza kwakuwa ni wadogo bado wanamtegemea mama yao mwenye work permit kule.
Kaka yake alikuwa over 18, sasa ndio wanatafuta jinsi ya kumsaidia kupata viza naye aende UK.
 
Yeye na mdogo wake walipata viza kwakuwa ni wadogo bado wanamtegemea mama yao mwenye work permit kule.
Kaka yake alikuwa over 18, sasa ndio wanatafuta jinsi ya kumsaidia kupata viza naye aende UK.

asante sana mkuu....
 
wewe ndio hujaelewa,labda nilivyoprent...ila tuliochukuliwa ni mimi na mdogo wangu wa kike,ambaye ni mdogo kwangu,kaka yetu alibaki ambaye ni mkubwa kwetu,kipi usichokielewa mkuu???

Na kweli nilikuwa sijakuelewa kwa kuwa labda ulikuwa watumia maneno "mdogo wangu" na "kaka yangu", hilo la mdogo wa kike sikuwa nimeliona kwa kuwa awali hukulieleza.

Yeye na mdogo wake walipata viza kwakuwa ni wadogo bado wanamtegemea mama yao mwenye work permit kule.
Kaka yake alikuwa over 18, sasa ndio wanatafuta jinsi ya kumsaidia kupata viza naye aende UK.

Nimemuelewa sasa...thanks
 
Mkuu hizo taarifa za ugonjwa huo unaomsumbua, hakuna namna ya kupata vielelezo vyake kutoka hospitali za Tanzania kuwa kama supporting documents?
 
Najua hili swala sio la MMU ila huku ndio kwenye watu wengi, naombeni msaada, ni hivi wazazi wangu waliachana mwaka 2002 ambapo mama alikuwa uk, akaja kutuchukua mie na mdogo wangu wakati huo tulipewa work permit dependants vizas, kaka yangu kwa kuwa umri ulikuwa mkubwa akakataliwa, na bahati mbaya aliingia chuo hapo bongo, akaingia hadi mwaka wa tatu akaacha akisema ni ngumu kwa ujumla maisha yake hapo bongo ni magumu, na sie huku ulaya sio kwamba ni mazuri ila at least tukipata hizo benefits zao siku zinaenda....

Huyu kaka yangu nahisi anaumwa schizoprenia kama mimi kwa sababu ashawahi kuwa mad twice na mama ikabidi aje kumuangalia sasa wapendwa nimemconsult lawyer mmoja wa huku akaniambia ni mpaka niprove hakuna means za kujicare himself in my home country and second he doesnt advice to make application kwa sababu ni complex kujaza na very expensive

Hapa nachowaomba mnisaidie je kuna mtu ashawahi kufanya application? naomba maujuzi, na nyie wana MMU naombeni mauongo ya kujaza manake a strong case

Thanks.


Nilishawahi kutokewa na ishu inayofanana na hiyo.
Option ya Kwanza:
Tulichofanya, tulitafuta chuo huko ughaibuni, tukamwambia atume maombi, akatuma, na kisha akachaguliwa, akapewa barua ya kuitwa, tukamlipia ada, akaomba visa kisha akaingia ughaibuni. Kulikuwa na ka-usumbufu kidogo lakini mwisho alifanikiwa.

Option ya pili,
ni kuwa mtafutieni hosp kama anaenda kutibiwa. Lakini lazima muwe na vyeti halali vya madaktari probably toka muhimbili au mirembe Dodoma au KCMC (not sure kama KCMC wana deal na mental illness, lakini Mirembe Dodoma ndiyo specialized hosp ya hayo mambo) na kisha mtumieni mwaliko kuwa anaenda kutibiwa. Hii pia inaweza kukusaidieni kama kweli ni mgonjwa na alishawahi kuhudhuria matibabu kwenye mojawapo ya hosp kubwa.

Kama hizi njia zitafeli, nitakueleza ya tatu, ila itabidi UILIPIE. Maana tunachoka kuandika kila siku kutoa ushauri .... tehee teheee heee (joke!)
 
wakuu nikitafuta hivyo vyeti,si ndio kabisa watauliza kama anaumwa na sehemu ya matibabu ipo,kwa nini aje huku?
 
Am nt sure ila hospital documents endorsed by court testmony and sealing pamoja na recommendation from ministry of social works might help.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForu
 
  • You need long-term personal care to perform every day tasks, such as washing and cooking.
  • The care you need is not available in the country where you are living, either because it is not available and there is no person in the country where you are living who can reasonably provide it or it is not affordable.
  • Your sponsor can show that he or she is able to provide adequate maintenance, accommodation and care for you without having to rely on public funds. Your sponsor will need to sign a sponsorship undertaking form to confirm that they will be responsible for your care without relying on public funds for a period of at least 5 years.
wakuu hivyo ndivyo vigezo,how do i put??:confused3:
 
Baada ya kuchukua hatua hizo ulizopewa hapo juu , usiache kumuona mwanasheria wa huko Uk huyo atakusaidia mradi umonyeshe nini unacho na atakuambia nini kinamiss.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom