Jamani naombeni ushauri wenu.., ningependa nipunguze uzito wangu wa mwili uendane na miaka na urefu wangu.JE NIFANYEJE..?
Nina miaka 24, urefu ni 170 cm na kwa sasa nina kilo 84. Nisaidieni kiushauri wa MAZOEZI, VYAKULA GANI NILE ILI niweze kupunguza huu uzito unaotishia afya yangu.., Nawasilisha...!
Nina miaka 24, urefu ni 170 cm na kwa sasa nina kilo 84. Nisaidieni kiushauri wa MAZOEZI, VYAKULA GANI NILE ILI niweze kupunguza huu uzito unaotishia afya yangu.., Nawasilisha...!