pjv Member Joined Sep 17, 2013 Posts 64 Reaction score 9 Nov 6, 2013 #1 wanajamvi msaada ya technical specifications za samsung galaxy gt s5360 y ikiwepo ubora wake,matatizo yake na bei imesimamaje? Nawasilisha.
wanajamvi msaada ya technical specifications za samsung galaxy gt s5360 y ikiwepo ubora wake,matatizo yake na bei imesimamaje? Nawasilisha.
jwhizzy JF-Expert Member Joined Sep 24, 2012 Posts 681 Reaction score 396 Nov 6, 2013 #2 Ni simu nzuri tu ina speed katika internet,ina screen kubwa kdgo,tatizo ni internal memory ni ndogo.bei sijui kwa sababu nilinunua kwa mtu.
Ni simu nzuri tu ina speed katika internet,ina screen kubwa kdgo,tatizo ni internal memory ni ndogo.bei sijui kwa sababu nilinunua kwa mtu.
pjv Member Joined Sep 17, 2013 Posts 64 Reaction score 9 Nov 6, 2013 Thread starter #3 jwhizzy said: Ni simu nzuri tu ina speed katika internet,ina screen kubwa kdgo,tatizo ni internal memory ni ndogo.bei sijui kwa sababu nilinunua kwa mtu. Click to expand... bei yake inafikia laki2 kama imeshatumika au chini ya hapo? Thanx 4 info man.
jwhizzy said: Ni simu nzuri tu ina speed katika internet,ina screen kubwa kdgo,tatizo ni internal memory ni ndogo.bei sijui kwa sababu nilinunua kwa mtu. Click to expand... bei yake inafikia laki2 kama imeshatumika au chini ya hapo? Thanx 4 info man.
jwhizzy JF-Expert Member Joined Sep 24, 2012 Posts 681 Reaction score 396 Nov 7, 2013 #4 Ipo chini ya laki mbili kama ya kwangu nilinunua 120k na dukani nadhan itakuwa chini ya laki mbili..kama 180k
Ipo chini ya laki mbili kama ya kwangu nilinunua 120k na dukani nadhan itakuwa chini ya laki mbili..kama 180k
pjv Member Joined Sep 17, 2013 Posts 64 Reaction score 9 Nov 7, 2013 Thread starter #5 jwhizzy said: Ipo chini ya laki mbili kama ya kwangu nilinunua 120k na dukani nadhan itakuwa chini ya laki mbili..kama 180k Click to expand... thanx mkuu kwa maoni.
jwhizzy said: Ipo chini ya laki mbili kama ya kwangu nilinunua 120k na dukani nadhan itakuwa chini ya laki mbili..kama 180k Click to expand... thanx mkuu kwa maoni.