HELP: Kwa anayeijua Opera mini 6

HELP: Kwa anayeijua Opera mini 6

Fungakazi

Senior Member
Joined
Jan 11, 2012
Posts
174
Reaction score
128
nnaomba msaada jamani mi nnatumia Opera mini6 lakini haitaki kusave pages kila nikisave inaniambia failed to save, cjui tatizo nini haswa. Napia ningeomba kujua kama kwa kutumia hii browser je ninaweza kupost link inayowakilishwa na neno? Mfano click HERE
 
Ku Save File ina tegemea aina ya simu au version ya Opera Mini unayotumia. Unaweza Kushea Link moja kwa moja kwa kutumia Opera Mini inayoanzia v4.3 lakini utakuwa limited ktk social network tu kama vile Face Book, Twitter au Yahoo. Hapa Jamii Forum ukiandika vizuri book mark moja kwa moja itakuwa link.
 
...inawezekana hujachagua "file" la kuhifadhia.
...labda ume"download" opera isiokua na "signed certificate"
...pia angalia "memory" ya simu yako.
 
Jaribu kuangalia free memory.pengine simu imejaa
 
nnaomba msaada jamani mi nnatumia Opera mini6 lakini haitaki kusave pages kila nikisave inaniambia failed to save, cjui tatizo nini haswa. Napia ningeomba kujua kama kwa kutumia hii browser je ninaweza kupost link inayowakilishwa na neno? Mfano click HERE

kuweka link JF kwa simu ni hivi mkuu
Unaandika

(url="www.jamiiforums.com")CLICK HERE(/url)

yani ndani ya quotation hizi " " ndiyo unaandika website unayotaka kuiwekea link then pale nilipoandika CLICK HERE ndiyo unaandika maneno ambayo yajitokeze hapa kwenye post. Pia most important step. Kwenye zile bracket za hizi ( ) zibadilishe ziwe square bracket. Yani hivi [ ]. Zipo bracket nne za hvi ( ) so zote zibadilishe ziwe hivi [ ] .Nimeweka bracket za hvi ( ) ili niweze kuelezea mkuu maana ningeweka za hvi
[ ]
ingetokea link yenyewe halafu usingeweza ona mfano wa link kwa simu inawekwaje.
 
kuweka link JF kwa simu ni hivi mkuu
Unaandika

(url="www.jamiiforums.com")CLICK HERE(/url)

yani ndani ya quotation hizi " " ndiyo unaandika website unayotaka kuiwekea link then pale nilipoandika CLICK HERE ndiyo unaandika maneno ambayo yajitokeze hapa kwenye post. Pia most important step. Kwenye zile bracket za hizi ( ) zibadilishe ziwe square bracket. Yani hivi [ ]. Zipo bracket nne za hvi ( ) so zote zibadilishe ziwe hivi [ ] .Nimeweka bracket za hvi ( ) ili niweze kuelezea mkuu maana ningeweka za hvi
[ ]
ingetokea link yenyewe halafu usingeweza ona mfano wa link kwa simu inawekwaje.

Hongera sana mkuu nashukuru kwa huu msaada.Pia nilikuwa na tatizo hilo.
 
nnaomba msaada jamani mi nnatumia Opera mini6 lakini haitaki kusave pages kila nikisave inaniambia failed to save, cjui tatizo nini haswa. Napia ningeomba kujua kama kwa kutumia hii browser je ninaweza kupost link inayowakilishwa na neno? Mfano click HERE

Kuanzia Opera mini v 5.0 zina uwezo wa kusave pages. Mimi pia natumia v6.5 katika Nokia 5130 XpressMusic inasave pages kama kawaida. Awali nilikuwa ninatumia v5.1 ilikuwa inasave baadaye ikaanza kugoma. Kwa hiyo matatizo ya namna hii kwa kawaida yanatokana na simu yako. Memory inayohusika ni RAM( random access memory)ambayo ikipungua inasababisha matatizo ya utendaji mbovu wa simu. Huenda likawa tatizo la muda tu jaribu tena na tena labda kuna siku utafurahi. Lakini uliwahi kusave page au hujawahi?
 
Thanks all nilichogundua ni kwamba kwenye setting za App access katika reading and editing user data ilikuwa imejiset to not allowed.
 
Back
Top Bottom