Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,888
- 14,543
Wakuu asalaam
Nina external hard disk yangu size yake ni 1TB aina ni Transcend na ndani ni samsung hdd....tatizo langu ni kuwa leo nimeamka haisomi
Mpaka sasa diagnosis nilizoifanyia ni....
1. Nimebadili device ya kusomea hdd nmejaribu kwenye tv hollaaa kwenye subwoffwe holla kwenye laptop holla na sasa npo kwenye desktop holla..
2. Nikabadili usb cable nayo hola
3. Nikabadili case yake napo hola...
Hapa nimerun out of option na ni ya muhimu kweli imenivuruga akili....
Ukiichomeka inaonyesha taa inawaka na inazunguka hii ina maana case ni nzima...
Je mwenye msaada zaidi anaweza nisaidia na hili tatzo...
Cc. mwlm C.R.T na wengineo
Nina external hard disk yangu size yake ni 1TB aina ni Transcend na ndani ni samsung hdd....tatizo langu ni kuwa leo nimeamka haisomi
Mpaka sasa diagnosis nilizoifanyia ni....
1. Nimebadili device ya kusomea hdd nmejaribu kwenye tv hollaaa kwenye subwoffwe holla kwenye laptop holla na sasa npo kwenye desktop holla..
2. Nikabadili usb cable nayo hola
3. Nikabadili case yake napo hola...
Hapa nimerun out of option na ni ya muhimu kweli imenivuruga akili....
Ukiichomeka inaonyesha taa inawaka na inazunguka hii ina maana case ni nzima...
Je mwenye msaada zaidi anaweza nisaidia na hili tatzo...
Cc. mwlm C.R.T na wengineo
Last edited by a moderator: