selina mrembo
Member
- May 18, 2020
- 54
- 68
Nilipata siku zangu mwanzoni mwa mwezi wa tano nikimaanisha kuanzia 1..2.3..sikumbuki nilitumia siku ngapi ila tareh 13 ya mwezi huo nilikutana na mtu nina shida ya vidonda vya tumbo pia sasa maeneo ya chini ya kitovu nashindwa kuelewa nina shida gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app