Majirani zako tunapulizia sumu kuua wadudu shambani. Wewe hutaki na kwakuwa eti shamba ni lako hutaki kuambiwa chochote, tukuache shamba lako liwe kiwanda cha kuwafyatulia warudi tena kwetu?
Majirani zako tunapulizia sumu kuua wadudu shambani. Wewe hutaki na kwakuwa eti shamba ni lako hutaki kuambiwa chochote, tukuache shamba lako liwe kiwanda cha kuwafyatulia warudi tena kwetu?
soma tena ulichouliza ndio uje tena.. naona unataka shupaza mshipa wa shingo kwa ubishi usio na lazima.. point ni moja tu hapo, wanataka kujilizisha iwapo tunamambukiza ai laa ili wajishughurishe na nchi zenye mambokizo